Serikali chukueni hatua mapema Wahadzabe wanaharibiwa utamaduni na mabeberu

Serikali chukueni hatua mapema Wahadzabe wanaharibiwa utamaduni na mabeberu

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
Sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi.

Kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako.

Sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao. Miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabisa wao ni nyama tu, sasa leo Mhadzabe anapika mpaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti, yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule

Kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao.

Tumefeli kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza, tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana

Fikiria mpaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharibiwa na wageni, Serikani iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo kuna usalama wa taifa, sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndogo kama hizi

Leo hii hapa DSM Kuna mashoga mpaka wamasai kwa sababu ya mambo ya mzaha kama haya

Serikali idhibiti kama mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe kodi kubwa kuwaona sio bure

Mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠

Screenshot_20250208-103720.jpg
Screenshot_20250208-103705.jpg
Screenshot_20250208-103647.jpg
Screenshot_20250208-103628.jpg
 
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi
kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako
sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabsa wao ni nyama tu sasa Leo mhadzabe anapika mbaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao tumefeli Kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana fikiria mbaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharbiwa na wageni serkani Iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo Kuna usalama wa taifa sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndgo kama hizi Leo hii hapa dsm Kuna mashoga mbaka wamasai Kwa ajiri ya mambo ya mzaha kama haya serikali idhibiti Kam mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe Kodi kubwa kuwaona sio Bure mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠
Mkuu dunia inaenda kwa kasi sana ni muda wa hao wahadzabe kutoka maporini na kuishi maisha ya kawaida.
 
Taifa linapata mapato kwa uwepo wao kupitia utalii

Moja ya makabila machache ambayo serikali inapata fedha za kigeni kupitia wao

1. Hadza
2. Maasai
3. Chagga japo Hawa ktk mfumo wa kutengeneza kahawa, mashamba ya kahawa na kula chakula cha asili kama pilau, ugali nk

Hivyo wanafaida yake tukiendelea kulinda tamaduni zao (zetu)

Mr. Ebbo aliimba mimi mmasai, tamaduni yenye nguvu iliyobaki afrika
 
Mkuu dunia inaenda kwa kasi sana ni muda wa hao wahadzabe kutoka maporini na kuishi maisha ya kawaida.
Hao watu wanaishi maisha mafupi sanaa wengi hawavuki miaka 40 kisa maisha duni tiba duni chakula duni, ila wajinga wanaona hao watu ni toutst attraction, mbona wamaisai wemeanza kubadilika na kipanga nyumba mjini na kuishi vzri
 
kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako
 
Hua naangalia sana videos zao FB wananifurahisha nami pia nimechukizwa walipoanza kuwapelekea viungo watie kwenye nyama na hiyo video ya Coca Cola ndio ilikera watu wengi zaidi,

Kuna kabila linaitwa Sentinelese wale wazee hawataki kabisa mila zao ziharibiwe na wazungu, wanarusha mishale balaa kukuua dakika 0
 
Hua naangalia sana videos zao FB wananifurahisha nami pia nimechukizwa walipoanza kuwapelekea viungo watie kwenye nyama na hiyo video ya Coca Cola ndio ilikera watu wengi zaidi,

Kuna kabila linaitwa Sentinelese wale wazee hawataki kabisa mila zao ziharibiwe na wazungu, wanarusha mishale balaa kukuua dakika 0
kabsa mkuu asaiv WAHADZABE mbaka pilau wanalijua😀😀😀
 
Hua naangalia sana videos zao FB wananifurahisha nami pia nimechukizwa walipoanza kuwapelekea viungo watie kwenye nyama na hiyo video ya Coca Cola ndio ilikera watu wengi zaidi,

Kuna kabila linaitwa Sentinelese wale wazee hawataki kabisa mila zao ziharibiwe na wazungu, wanarusha mishale balaa kukuua dakika 0
Walijisahau kwa wasandawe now wanavaa jinsi na vimini wanadunda tu
 
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi
kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako
sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabsa wao ni nyama tu sasa Leo mhadzabe anapika mbaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao tumefeli Kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana fikiria mbaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharbiwa na wageni serkani Iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo Kuna usalama wa taifa sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndgo kama hizi Leo hii hapa dsm Kuna mashoga mbaka wamasai Kwa ajiri ya mambo ya mzaha kama haya serikali idhibiti Kam mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe Kodi kubwa kuwaona sio Bure mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠
Naona kuna neno MBAKA umelitumia sana,lina maana gani?
 
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
Sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi.

Kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako.

Sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao. Miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabisa wao ni nyama tu, sasa leo Mhadzabe anapika mpaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti, yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule

Kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao.

Tumefeli kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza, tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana

Fikiria mpaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharibiwa na wageni, Serikani iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo kuna usalama wa taifa, sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndogo kama hizi

Leo hii hapa DSM Kuna mashoga mpaka wamasai kwa sababu ya mambo ya mzaha kama haya

Serikali idhibiti kama mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe kodi kubwa kuwaona sio bure

Mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠

View attachment 3228865View attachment 3228866View attachment 3228867View attachment 3228868

Utamaduni waliacha mda; haya ni maigizo
 
Back
Top Bottom