Serikali chukueni hatua mapema Wahadzabe wanaharibiwa utamaduni na mabeberu

Serikali chukueni hatua mapema Wahadzabe wanaharibiwa utamaduni na mabeberu

KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
Sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi.

Kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako.

Sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao. Miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabisa wao ni nyama tu, sasa leo Mhadzabe anapika mpaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti, yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule

Kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao.

Tumefeli kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza, tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana

Fikiria mpaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharibiwa na wageni, Serikani iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo kuna usalama wa taifa, sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndogo kama hizi

Leo hii hapa DSM Kuna mashoga mpaka wamasai kwa sababu ya mambo ya mzaha kama haya

Serikali idhibiti kama mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe kodi kubwa kuwaona sio bure

Mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠

View attachment 3228865View attachment 3228866View attachment 3228867View attachment 3228868
Kuwa na ubinadamu mkuu yaani unaona binadamu wenzako kama kivutio kama wanyama hivi wewe tukisema uishi maisha ya Babu yako achilia mbali mababu zako utakubali?
 
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
Sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi.

Kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako.

Sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao. Miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabisa wao ni nyama tu, sasa leo Mhadzabe anapika mpaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti, yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule

Kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao.

Tumefeli kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza, tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana

Fikiria mpaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharibiwa na wageni, Serikani iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo kuna usalama wa taifa, sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndogo kama hizi

Leo hii hapa DSM Kuna mashoga mpaka wamasai kwa sababu ya mambo ya mzaha kama haya

Serikali idhibiti kama mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe kodi kubwa kuwaona sio bure

Mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠

View attachment 3228865View attachment 3228866View attachment 3228867View attachment 3228868
Yaani Wewe ule mapochopocho wao wale nyama mbichi! Maendeleo hayana kabila!
 
Always looking for something to blame 🙄 kwa hiyo kuishi zamani wakati leo imepita ndio?
 
KWEMA. Leo nilikuwa naperuzi mtandao wa Instagram kiukweli mwanzoni nilikuwa nafurahia kuona video za ndugu zetu wadazbe kiukweli UTAMADUNU wao unafurahisha pamoja jinsi wanavyoishi Kwa upendo nk
Sasa umepotea karbu mwaka nikaanza kuona mbaka wazungu wanaenda kutengeneza content kule Kwaajiri ya kupata views mitandaoni sio mbaya ila mimi.

Kilichonikela ni kitendo Cha kuanza kuwabadilisha utamaduni wao inakuwaje mtalii aende kule na chupa ya coca eti unawapa soda wakihangaika kufungua wewe ndio furaha yako.

Sasa wakiendelea namna hii baada ya miaka kumi WAHADZABE watabadilika asili Yao. Miaka mitano nyuma walikuwa hawaujui ugali kabisa wao ni nyama tu, sasa leo Mhadzabe anapika mpaka wali na nyanya vitunguu sijui karoti, yote hayo wabebadilishiwa na wahuni wanaowatembelea kule na Nina uhakika Kuna siku hata condom zitapelekwa kule

Kule ni kizazi adimu serikali ilitakiwa ilinde kama tunavyolinda twiga na tembo wale kama wanatembelewa na watalii wahakikishe hawapewi vitu vya kuharbu utamaduni wao.

Tumefeli kwa wamasai ila hawa tupambanae kuwatunza, tusipokuwa kuwa makini tunapoteza kizazi hiki mapema sana

Fikiria mpaka mitandaoni mtu Yuko India anachukia jinsi jamaa wanavyoharibiwa na wageni, Serikani iko kimya halafu anakuja mtu anakwambia bongo kuna usalama wa taifa, sasa usalama wanashindwa kung'amua ishu ndogo kama hizi

Leo hii hapa DSM Kuna mashoga mpaka wamasai kwa sababu ya mambo ya mzaha kama haya

Serikali idhibiti kama mtu anataka kuwapa zawadi basi iwe ni nyama tu pia watu walipe kodi kubwa kuwaona sio bure

Mtu anaenda kule na kuwaambia wakate mimba huku akiwarekodi akimaliza anawapa fanta ya chupa si ujinga huu😠😠

View attachment 3228865View attachment 3228866View attachment 3228867View attachment 3228868

" Look at their mode of life and their lifestyle in general, you can observe that Black people are born with the situation like an half mad mentality and mindsets."

Jan Smuts, a First Prime Minister of Union of South Africa.
 
Kuwa na ubinadamu mkuu yaani unaona binadamu wenzako kama kivutio kama wanyama hivi wewe tukisema uishi maisha ya Babu yako achilia mbali mababu zako utakubali?
Nadhani alichosema ni kwamba waishi maisha yao ya jadi bila kuingiliwa tamaduni zao na watu wa nje. Aliye wadhalilisha zaidi ni yule aliye wapa Coca-Cola wakaangaika nayo kuifungua na wapo ionja coca ikawatekenya wakakunja nyuso zao.
 
Nadhani alichosema ni kwamba waishi maisha yao ya jadi bila kuingiliwa tamaduni zao na watu wa nje. Aliye wadhalilisha zaidi ni yule aliye wapa Coca-Cola wakaangaika nayo kuifungua na wapo ionja coca ikawatekenya wakakunja nyuso zao.
Hapana wao ni binadamu lazima kama jamii ingiliane na jamii nyingine ili ipige hatua kumbuka hata sisi tulivyo Leo ni kwasababu ya kuchangamana na jamii nyingine duniani
 
Ndio watu pekee Tanzania ambao wanasoma bure kuanzia primary mpaka chuo.

Kila mwaka baadhi ya vijana wa kihadzabe wanachukuliwa wanapelekwa jeshini ili waje kuwaelimisha wazazi wao.

Ndio watu pekee wanaruhusiwa kuwinda mpaka kwenye hifadhi za wanyama wanawinda wanyama.

Ukiwajengea shule au zahanati wanahama hilo eneo kabisa.

Wahadzabe washabadilika asili ya wahadzabe imeshapotea mda sana na sidhani kama ni kitu kibaya maana sio utamaduni mzuri.

Zamani ilikuwa mhadzabe akifa basi wanaacha maiti iliwe na fisi na mbwa na ndio maana wahadzabe hawali hao wanyama ila sasa hivi wanakijiji wanawasaidia kuzika.

Alamsik wahadzabe wabadilike hakuna namna.
 
Hawa waliobaki huko ni fake ni watu wavivu ambao wanapenda vya bure. Uzuri baada ya miaka kadhaa watukuwa washaenda mjini
 
Nadhani alichosema ni kwamba waishi maisha yao ya jadi bila kuingiliwa tamaduni zao na watu wa nje. Aliye wadhalilisha zaidi ni yule aliye wapa Coca-Cola wakaangaika nayo kuifungua na wapo ionja coca ikawatekenya wakakunja nyuso zao.
👍👍🙏🙏
 
Back
Top Bottom