Hamjambo wote Wanahisa wa Vodacom. Nakumbuka Serikali yetu pendwa ilituhamasisha tuwekeze kwenye Kampuni ya Vodacom. Kiuhalisia Vodacom inafanya biashara sana na inapata faida kubwa.
Kwa kweli haiingii akilini kuwa Vodacom inatoa faida ya Tshs.10 kwa kila hisa ukichukua biashara kubwa inayofanya. Kama NMB inatoa wastani wa Tshs.100 kwa hisa iweje Vodacom inatoa Tshs.10 tu.
Ninaishauri Serikali kama bado wanaendelea na utaratibu huu wa kuwaonea Wanahisa basi ni vema wakafunga virago vyao na tupate Kampuni nyingine kama mbadala. Tunaiomba Serikali itusaidie sisi Wanahisa.
Kwa kweli haiingii akilini kuwa Vodacom inatoa faida ya Tshs.10 kwa kila hisa ukichukua biashara kubwa inayofanya. Kama NMB inatoa wastani wa Tshs.100 kwa hisa iweje Vodacom inatoa Tshs.10 tu.
Ninaishauri Serikali kama bado wanaendelea na utaratibu huu wa kuwaonea Wanahisa basi ni vema wakafunga virago vyao na tupate Kampuni nyingine kama mbadala. Tunaiomba Serikali itusaidie sisi Wanahisa.