DOKEZO Serikali chunguzeni kinachoendelea Baraza la Ardhi na nyumba Wilaya Nyamagana Mwanza

DOKEZO Serikali chunguzeni kinachoendelea Baraza la Ardhi na nyumba Wilaya Nyamagana Mwanza

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uyo CHURA yuko kwao anacheza kigodoro tu cku 3.

Unaambiwa watu wanakula na kunywa mpk kusaza.

Unazani utackilizwa kiongozi mtanganyika mwenzangu jipange tu ikibidi jichukulie sheria mkononi tu
 
Kinachoendelea katika baraza la Aridhi lililopo mwanza wilaya ya nyamagana inatisha

Rushwa sasa ni haki na usipotoa Rushwa huwezi kupata haki. Mtu hafiki mahakamani zaidi ya mara 4 pamoja na kupelekewa wito wa mahakama zaidi ya mara 4 hafiki lakini anaendelea kuthaminiwa

Nina ushahidi mkubwa ambao uli mtaka ndugu yangu atoe rushwa ya million kadhaa ili apewe zuio la kutobomolewa jengo lake mpaka kesi ya musingi isikilizwe. Kwa kuwa hakutoa hiyo rushwa umekuwa mchezo wa paka na panya

Anaye lala mikiwa sasa anatamba kupata amri ya kuharibu Mali wakati toka zuio litolewe kesi haijasikilizwa na wala muhusika hajafika mahakamani

Tunaiomba selikari ijitokeze kufuatilia uvunjaji huu mkubwa wa sheria unaovuruga haki za msingi za wananchi

Niko tayari kufika ofisi yoyote kuonyesha ushahidi wakile ninacho kisema. Jambo hili lilisha fika takukuru. Hata Arimashauli walishafika katika eneo la tukio ambapo wa lala mikiwa walikosa hata karatasi moja inayoonyesha wana haki. Vielezo vyote tunavyo. Viwanja vimepimwa kihalali na haki zote za umiliki zipo. Hatujawahi kushitakiwa popote. Alafu mtu anapewa Kibali cha kuharibu Mali. Hili linatisha na niaibu kubwa kwa nchi inayofuta mfumo wa sheria

Kwa kuwa nchi yetu inaongozwa na sheria na katiba tunaomba selikari wajitokeze waingilie kati jambo hili linatishia Amani na usalama wanchi
Cheki na Waziri wa Aridhi, maana hayo mabaraza ya Aridhi yako chini yake!!
 
Summons zilifikaje? Kuna kiapo cha mpeleka wito? Kama hakuna kiapo, hiyo summons inakuwa haina nguvu kisheria, lqzima upeleke upya. Kuna mchezo wa watu kutopeleka summins, akifika hapo stendi ya Tanganyika ya zamani anatafuta chinga muuza mitumba asaini kama yule aliyetarajiwa kuzipokea.

Justice hurried is justice burried, justice delayed is justice denied. Ukikosea mfumo wa kupeleka summons, unakuwa umeua kesi yako yote, ikienda mbele kwa rufaa inafutwa kwa kumnyima upandewa pili haki ya kikatiba ya kusikilizwa.

Pia hata zuio, halitolewi kama sadaka, kuna vigezo, na mahakama inaweza kutaka pande zote ziwepo. Mahakama inaweza kutoa zuio kumbe hapo ndipo mtu anaishi, au njia ya kwenda nyumbani kwake, kila akitaka kwenda nyumbani akipita hapo anakamatwa.

Hiyo ni discretion ambayo lazima iwe exercised judiciously kwa kuangalia kwenye kiapo umeandika nini. Inawezekana una bush lawyer kakuandikia kesi kwa kiingereza, unayoyasema hapa hajayaandika, au Mwenyekiti anafuata mstari, bush lawyers wameamua kumchafua
 
Summons zilifikaje? Kuna kiapo cha mpeleka wito? Kama hakuna kiapo, hiyo summons inakuwa haina nguvu kisheria, lqzima upeleke upya. Kuna mchezo wa watu kutopeleka summins, akifika hapo stendi ya Tanganyika ya zamani anatafuta chinga muuza mitumba asaini kama yule aliyetarajiwa kuzipokea.

Justice hurried is justice burried, justice delayed is justice denied. Ukikosea mfumo wa kupeleka summons, unakuwa umeua kesi yako yote, ikienda mbele kwa rufaa inafutwa kwa kumnyima upandewa pili haki ya kikatiba ya kusikilizwa.

Pia hata zuio, halitolewi kama sadaka, kuna vigezo, na mahakama inaweza kutaka pande zote ziwepo. Mahakama inaweza kutoa zuio kumbe hapo ndipo mtu anaishi, au njia ya kwenda nyumbani kwake, kila akitaka kwenda nyumbani akipita hapo anakamatwa.

Hiyo ni discretion ambayo lazima iwe exercised judiciously kwa kuangalia kwenye kiapo umeandika nini. Inawezekana una bush lawyer kakuandikia kesi kwa kiingereza, unayoyasema hapa hajayaandika, au Mwenyekiti anafuata mstari, bush lawyers wameamua kumchafua
Mkuu Asante summos zipelekwa na Dalali wa mahakama ambaye wamemusajili. Na zinaambatanishwa na kiapo. Kuna mengi ya kueleza juu ya hayo Ila ngojea muda utaongea
 
Mkuu Asante summos zipelekwa na Dalali wa mahakama ambaye wamemusajili. Na zinaambatanishwa na kiapo. Kuna mengi ya kueleza juu ya hayo Ila ngojea muda utaongea
Oohh, sawa, fuatilia suala lako, ila hakikisha hauipotezi Mahakama (dont lose the court). Sisitiza kwenda kuonana na Mwenyekiti wa Baraza, usiishie kwq makarani hapo chumba cha kwanza, ukimuona atakuwa wa msaada kwako. Hata karani wa hapo Mr. Seni ni mtu muungwana kabisa, na mtumishi mwenye maadili kuliko wote kanda ya ziwa, hasa wa kada yake
 
Back
Top Bottom