Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
Serikali ya CCM chini raisi Samia Suluhu Hassan. Naomba sisi vijana tulio soma iwe kuanzia form four(aliyefaulu) or Veta(NVC 3) na kuendelea kwenye hiyo miradi na huku mitaani na mtuwekee kipaombele/ au mazingira wezeshi Yaani Kwa mfano haya makampuni ya kichina yanayo jenga miradi ya serikali na yenye viwanda hapa tanzania ya pewe udhibiti wa aina ya wafanyakazi ambao itatakiwa kua ajiri sio kuajiri Kila mtu kitu kinacho sababisha rushwa iwe juu. Kwahiyo haki ya vijana Wenye weledi inapotezwa.
Na huku mitaani jaribuni kuwawekea mazingira wezeshi Hao walio soma Kwa kuwabana Kwa sheria ambao walikimbia shule. Kwa mfano ni vizuri kumlinda fundi simu Alieishia form six labda PCM kwa kuwa ataweza kwendana na mabadiliko ya sci-tech na ataweza kucopy tech mpya kuliko kuendelea kuwakumbatia wajinga ( unakuta fundi redio capacitor anaita Kitenki). Kupitaa hivi utawafanya wasomi wapate faida na kufikiria kufika mbali zaidi na kuwa ajiri hao walio kimbia shule
Na huku mitaani jaribuni kuwawekea mazingira wezeshi Hao walio soma Kwa kuwabana Kwa sheria ambao walikimbia shule. Kwa mfano ni vizuri kumlinda fundi simu Alieishia form six labda PCM kwa kuwa ataweza kwendana na mabadiliko ya sci-tech na ataweza kucopy tech mpya kuliko kuendelea kuwakumbatia wajinga ( unakuta fundi redio capacitor anaita Kitenki). Kupitaa hivi utawafanya wasomi wapate faida na kufikiria kufika mbali zaidi na kuwa ajiri hao walio kimbia shule