Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
- Thread starter
- #21
Sasa si Kwa vile akili zenu ni nzito hazijawahi kumbana na matatizoHatutaki.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si Kwa vile akili zenu ni nzito hazijawahi kumbana na matatizoHatutaki.....
Sema ili kuliondoa kabisa ni ngumu sanavijana wa kitanzania huwa wanawaza kupiga(kuiba tu) na sio kuendeleza taasisi ndo maana unaona taasisi akipewa mtanzania lazima ife, hatuna ile kufanya kazi kwa bidii ili nijiongezee ujuzi katika eneo langu
KivipiWe kumbe falasi sana........
Sawa mkuuSawa kiongozi...tuwasikilize wajenga hoja
Tulia mkuu ndo maishaYaaani uchanganye kijiko kimoja Cha sukari kwenye ndoo ya maji na utegemee ikolee yaani hata sukari itakuwa maji. Yaaani ushindanishe msomi mmoja kwenye kata na wajinga kumi kwenye kata yaan hata msomi mjinga na anaweza hata kuhama ndio maana wasomi wanabaki kugagania mjini Wanajua jamii inavyo wahakumu huku nje eti utakuta wanasema " nae anafanya Vitu ambavyo hata wasio soma nao wanafanya"
😀Mbona mlivyofaulu darasa la saba hatukuwaombea mabaya....iweje Leo mtuombee njaa🥴🥴🥴
Utakuaje na haki ya kufanya kazi yenye kutumia Maarifa nakati bado unaujinga kichwaniInamaana haki ni kwenu tu wasomi. Na wale ambao hawajasoma hawana haki?