Serikali fanyeni hata hivi basi

Serikali fanyeni hata hivi basi

vijana wa kitanzania huwa wanawaza kupiga(kuiba tu) na sio kuendeleza taasisi ndo maana unaona taasisi akipewa mtanzania lazima ife, hatuna ile kufanya kazi kwa bidii ili nijiongezee ujuzi katika eneo langu
Sema ili kuliondoa kabisa ni ngumu sana
 
Mmeyata wenyew ndu..ndu...ndu.. CCM mbele Kwa mbele ndu...ndu... ndu.. Wacha waisome number eeeeh..Wacha waisome number eeeeh..!
 
Yaaani uchanganye kijiko kimoja Cha sukari kwenye ndoo ya maji na utegemee ikolee yaani hata sukari itakuwa maji. Yaaani ushindanishe msomi mmoja kwenye kata na wajinga kumi kwenye kata yaan hata msomi mjinga na anaweza hata kuhama ndio maana wasomi wanabaki kugagania mjini Wanajua jamii inavyo wahakumu huku nje eti utakuta wanasema " nae anafanya Vitu ambavyo hata wasio soma nao wanafanya"
Tulia mkuu ndo maisha
 
Back
Top Bottom