Serikali fanyeni hata hivi basi

vijana wa kitanzania huwa wanawaza kupiga(kuiba tu) na sio kuendeleza taasisi ndo maana unaona taasisi akipewa mtanzania lazima ife, hatuna ile kufanya kazi kwa bidii ili nijiongezee ujuzi katika eneo langu
Sema ili kuliondoa kabisa ni ngumu sana
 
Mmeyata wenyew ndu..ndu...ndu.. CCM mbele Kwa mbele ndu...ndu... ndu.. Wacha waisome number eeeeh..Wacha waisome number eeeeh..!
 
Tulia mkuu ndo maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…