mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Habarini ndugu members?
Mimi ni mwananchi wa kawaida ninayeishi bagamoyo. Nina kero nataka kuileta kwenu.
Ni kuhusu vyoo vya shule za sekondari na msingi. Hali ni mbaya sana vyoo vimejaa, vinanukaaa hata ukipita nje, hakuna maji, wanafunzi ni wengi vyoo vidogo.
Sijajua kwanini uwa hamfanyi ukaguzi kwnye hayo maendeleo.
Naomba muwe mnakagua ili kuwalinda watoto wetu na marathon ya UTI, typhoid n.k
Asanteni
Mimi ni mwananchi wa kawaida ninayeishi bagamoyo. Nina kero nataka kuileta kwenu.
Ni kuhusu vyoo vya shule za sekondari na msingi. Hali ni mbaya sana vyoo vimejaa, vinanukaaa hata ukipita nje, hakuna maji, wanafunzi ni wengi vyoo vidogo.
Sijajua kwanini uwa hamfanyi ukaguzi kwnye hayo maendeleo.
Naomba muwe mnakagua ili kuwalinda watoto wetu na marathon ya UTI, typhoid n.k
Asanteni