Serikali fanyeni yafuatayo kupata mapato badala ya kuleta kodi za kuumiza Watanzania

Serikali fanyeni yafuatayo kupata mapato badala ya kuleta kodi za kuumiza Watanzania

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo

1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k

2. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwenye madini

3. Vunjeni mikataba inayoruhusu kampuni za kigeni kulipa kodi kidogo kwa taifa letu.

4. Tungeni sheria za kuwanyonga wanaoiba na kufisadi mapato serikali.

5. Tungeni sheria za kubana matumizi ya serikali.

6. Vutieni wawekezaji waje wawekeze kwenye bidhaa mpya zenye uhitaji katika soko la dunia. Ambapo kuna gesi ya helium, LNG, madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme n.k

7. Tungeni sheria ya kuongeza government money saving kwa kuzuia kila aina ya upotevu wa pesa ya serikali inayokusanywa kwa mifumo ya serikali.

Mimi ninaamini serikali yetu inajitosheleza kwa kila kitu tatizo lipo kwenye poor allocation of government resources.

Kuna kodi zinapotelea mikononi mwa watu. Mkiweza kuzuia kodi na mapato yanayopotelea mikononi mwa Watanzania wanaotaka kujitajirisha kwa kuhujumu kidogo kinachoingia serikali trust me hizi kodi za miamala hamtozitoza.

Nimetumia neno leakage likiwa na maana ya kuvuja. Nikiwa na maana kwamba in our government there's leakage of tax and revenue flow.

Huu uzi nimeandika kutoa ushauri kwa serikali na wabunge. Mimi yangu ni hayo pengine kuna niliyo sahau wenzangu wataongezea hapa.

Jamani karibuni kwa maoni.
 
Namwangalia Mangi hapa ananishawishi kwenye bei ya bidhaa ninazitaka kununua kwake, kuna bei ya pamoja na risiti na bei nyingine ni bila risiti!
Huu ujanja wa wafanyabiashara kwanini isitungwe sheria ya kuwanyonga?
 
Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo

1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k

2.Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwenye madini

3.Vunjeni mikataba inayoruhusu kampuni za kigeni kulipa kodi kidogo kwa taifa letu.

4.Tungeni sheria za kuwanyonga wanaoiba na kufisadi mapato serikali.

5.Tungeni sheria za kubana matumizi ya serikali.

6.Vutieni wawekezaji waje wawekeze kwenye bidhaa mpya zenye uhitaji katika soko la dunia. Ambapo kuna gesi ya helium, LNG, madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme n.k

7.Tungeni sheria ya kuongeza government money saving kwa kuzuia kila aina ya upotevu wa pesa ya serikali inayokusanywa kwa mifumo ya serikali.

Mimi ninaamini serikali yetu inajitosheleza kwa kila kitu tatizo lipo kwenye poor allocation of government resources.

Kuna kodi zinapotelea mikononi mwa watu. Mkiweza kuzuia kodi na mapato yanayopotelea mikononi mwa Watanzania wanaotaka kujitajirisha kwa kuhujumu kidogo kinachoingia serikali trust me hizi kodi za miamala hamtozitoza.

Nimetumia neno leakage likiwa na maana ya kuvuja. Nikiwa na maana kwamba in our government there's leakage of tax and revenue flow.
Kila mtu kulipa kodi hata Rais na wabunge
 
Namwangalia Mangi hapa ananishawishi kwenye bei ya bidhaa ninazitaka kununua kwake, kuna bei ya pamoja na risiti na bei nyingine ni bila risiti!
Huu ujanja wa wafanyabiashara kwanini isitungwe sheria ya kuwanyonga?
Kwanini unataka mambo yawe mengi?wewe mlipe hiyo anayokwambia utapewa na r8sit ili wote mchangie kodi kwa taifa.

Huo ndo uzalendo.
 
Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo

1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k

2. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwenye madini

3. Vunjeni mikataba inayoruhusu kampuni za kigeni kulipa kodi kidogo kwa taifa letu.

4. Tungeni sheria za kuwanyonga wanaoiba na kufisadi mapato serikali.

5. Tungeni sheria za kubana matumizi ya serikali.

6. Vutieni wawekezaji waje wawekeze kwenye bidhaa mpya zenye uhitaji katika soko la dunia. Ambapo kuna gesi ya helium, LNG, madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme n.k

7. Tungeni sheria ya kuongeza government money saving kwa kuzuia kila aina ya upotevu wa pesa ya serikali inayokusanywa kwa mifumo ya serikali.

Mimi ninaamini serikali yetu inajitosheleza kwa kila kitu tatizo lipo kwenye poor allocation of government resources.

Kuna kodi zinapotelea mikononi mwa watu. Mkiweza kuzuia kodi na mapato yanayopotelea mikononi mwa Watanzania wanaotaka kujitajirisha kwa kuhujumu kidogo kinachoingia serikali trust me hizi kodi za miamala hamtozitoza.

Nimetumia neno leakage likiwa na maana ya kuvuja. Nikiwa na maana kwamba in our government there's leakage of tax and revenue flow.
Waende Botswana wakajifunze wamewezaje kunufaika na madini yao sisi tushindwe na kuwa na utitiri wa mali yani dhahabu, gas, almasi, tanzanite, ruby, chuma, makaa yamawe, vivutia vingi vya utalii, bahari, bandari lakini serikali bado inadai barabara zitajengwa kwa kumkamua mwananchi.
 
Waende Botswana wakajifunze wamewezaje kunufaika na madini yao sisi tushindwe na kuwa na utitiri wa mali yani dhahabu, gas, almasi, tanzanite, ruby, chuma, makaa yamawe, vivutia vingi vya utalii, bahari, bandari lakini serikali bado inadai barabara zitajengwa kwa kumkamua mwananchi.
Inaudhunisha sana
 
Waende Botswana wakajifunze wamewezaje kunufaika na madini yao sisi tushindwe na kuwa na utitiri wa mali yani dhahabu, gas, almasi, tanzanite, ruby, chuma, makaa yamawe, vivutia vingi vya utalii, bahari, bandari lakini serikali bado inadai barabara zitajengwa kwa kumkamua mwananchi.
Hapa ndipo penyewe hapa. Watafute hela huku.
 
Aisee,Kodi zilipwe kwa wote wabunge nk

Kubana matumizi ya serikali ikiwemo kufuta uwepo au kupunguza idadi ya vitimaalum
Kuachana na magari ya kifahari defender zinatosha.

Vikao havitakiwi kuwa na posho
 
Waende Botswana wakajifunze wamewezaje kunufaika na madini yao sisi tushindwe na kuwa na utitiri wa mali yani dhahabu, gas, almasi, tanzanite, ruby, chuma, makaa yamawe, vivutia vingi vya utalii, bahari, bandari lakini serikali bado inadai barabara zitajengwa kwa kumkamua mwananchi.
👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂
 
Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo

1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k

2. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwenye madini

3. Vunjeni mikataba inayoruhusu kampuni za kigeni kulipa kodi kidogo kwa taifa letu.

4. Tungeni sheria za kuwanyonga wanaoiba na kufisadi mapato serikali.

5. Tungeni sheria za kubana matumizi ya serikali.

6. Vutieni wawekezaji waje wawekeze kwenye bidhaa mpya zenye uhitaji katika soko la dunia. Ambapo kuna gesi ya helium, LNG, madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme n.k

7. Tungeni sheria ya kuongeza government money saving kwa kuzuia kila aina ya upotevu wa pesa ya serikali inayokusanywa kwa mifumo ya serikali.

Mimi ninaamini serikali yetu inajitosheleza kwa kila kitu tatizo lipo kwenye poor allocation of government resources.

Kuna kodi zinapotelea mikononi mwa watu. Mkiweza kuzuia kodi na mapato yanayopotelea mikononi mwa Watanzania wanaotaka kujitajirisha kwa kuhujumu kidogo kinachoingia serikali trust me hizi kodi za miamala hamtozitoza.

Nimetumia neno leakage likiwa na maana ya kuvuja. Nikiwa na maana kwamba in our government there's leakage of tax and revenue flow.

Huu uzi nimeandika kutoa ushauri kwa serikali na wabunge. Mimi yangu ni hayo pengine kuna niliyo sahau wenzangu wataongezea hapa.

Jamani karibuni kwa maoni.
Shida kubwa ya nchi yetu ni katiba mbovu!
 
Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo

1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k

2. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwenye madini

3. Vunjeni mikataba inayoruhusu kampuni za kigeni kulipa kodi kidogo kwa taifa letu.

4. Tungeni sheria za kuwanyonga wanaoiba na kufisadi mapato serikali.

5. Tungeni sheria za kubana matumizi ya serikali.

6. Vutieni wawekezaji waje wawekeze kwenye bidhaa mpya zenye uhitaji katika soko la dunia. Ambapo kuna gesi ya helium, LNG, madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme n.k

7. Tungeni sheria ya kuongeza government money saving kwa kuzuia kila aina ya upotevu wa pesa ya serikali inayokusanywa kwa mifumo ya serikali.

Mimi ninaamini serikali yetu inajitosheleza kwa kila kitu tatizo lipo kwenye poor allocation of government resources.

Kuna kodi zinapotelea mikononi mwa watu. Mkiweza kuzuia kodi na mapato yanayopotelea mikononi mwa Watanzania wanaotaka kujitajirisha kwa kuhujumu kidogo kinachoingia serikali trust me hizi kodi za miamala hamtozitoza.

Nimetumia neno leakage likiwa na maana ya kuvuja. Nikiwa na maana kwamba in our government there's leakage of tax and revenue flow.

Huu uzi nimeandika kutoa ushauri kwa serikali na wabunge. Mimi yangu ni hayo pengine kuna niliyo sahau wenzangu wataongezea hapa.

Jamani karibuni kwa maoni.
Hizi ni hatua za mda mfupi au mda mrefu? Ukipata jibu nitag
 
Hizi ni hatua za mda mfupi au mda mrefu? Ukipata jibu nitag
Zipo mchanganyiko hapo. Kuna za mda mfupi na muda mrefu. Mfano kuhakikisha mashine za kutoa risti zinafanya kazi kila sehemu. Hii ni hatua ya muda mfupi. Hata leo unaweza kutangaza tu na swala likatekelezwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona simple tu
 
Zipo mchanganyiko hapo. Kuna za mda mfupi na muda mrefu. Mfano kuhakikisha mashine za kutoa risti zinafanya kazi kila sehemu. Hii ni hatua ya muda mfupi. Hata leo unaweza kutangaza tu na swala likatekelezwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona simple tu
Ndugu unachekesha mashine ziko Sana tuu tena vizuri,unaweza mlazimisha mtu kudai risiti?

Shida yako unaamini pesa zinaibiwa kitu ambacho sio sawa,zinazovuja ni kidogo Sana kuliko pesa ambayo serikali inakosa kwa mwananchi na mfanyabiashara kutotimiza wajibu.

Ningekuwa mimi ndio serikali kwa mfano ningehakikisha kila kampuni nayoipa tensa specifically za ujenzi inaajiri wataalamu husika na wanalipwa stahiki husika ili nipate PAYE japo kwa miezi 6 ya kazi hizi ndogo ndogo .Hapo tuu kuna pesa ndefu lakini hili halifanyiki.
 
Kwa kuongezea tu ata iyo waliyoweka sio mbaya ila wapunguze kiwango mfano tozo kubwa kabisa iwe atlist 1500,na pia iwe sehem moja ktk kutoa tu au wanaweza kuweka tofaut mfano waweke tozo labda ukilipia huduma za kiserikal au ukifanya malipo fulan au ukiangalia salio bank au ktk sim na kiwango kisiwe kikubwa sana kuzid elf moja hiz hiz sh mia mia ukikusanya mara mwaka na ukizikusanya vzur bas zitajenga izo barabara hospital ayo mashule na mengine ,lkn pia na hawa ndugu zetu viongoz wapunguze posho na mishahara yao na kodi watoe tunarudia kod mule mule alaf ela zenyewe wananufaika wachache ndio ,roho Inauma sana
 
Back
Top Bottom