Serikali futa matokeo ya Form 4 badala yake tumia matokeo ya Mock, 2012

Mbona hueleweki ndugu unashngaa kwanini zaidi ya 60% kufeli wakati huo huo unaeleza kuwa walimu hawafundishi kutokana na sababu ulizotaja hapo juu, halafu unataka matokeo ya mock yatumike ili waende form 5 waktai unakiri kuwa hawakufundishwa sasa huko wanakwenda f 5 kufanya nini wakati hataua hii wakufundishwa na kufuzu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…