Serikali haijafuta mitihani ya dini

Serikali haijafuta mitihani ya dini

bemg

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2010
Posts
2,799
Reaction score
643
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]SERIKALI HAIJAFUTA MITITIHANI YA TAIFA YA MASOMO YA DINI [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]| Print |[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]TAARIFA KWA UMMA
SERIKALI HAIJAFUTA MITITIHANI YA TAIFA YA MASOMO YA DINI

Serikali inapenda kuwafahamisha wananchi kuwa haijafuta Mitihani ya Taifa ya masomo ya Dini kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya Habari. Masomo hayo ni pamoja na Elimu ya Dini ya Kiislam, Bible Knowledge, Islamic Knowledge na Divinity. Masomo ya Dini yanaendelea kufundishwa shuleni na kutahiniwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA). Hata hivyo, Serikali inakusanya maoni kuhusu namna bora zaidi ya uendeshaji wa Mitihani ya Dini.

Imetolewa na:
KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI 01/06/2013

S:SERIKALI HAIJAFUTA MITITIHANI YA TAIFA YA MASOMO YA DINI[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom