Serikali haina fedha? Wakandarasi wadaiwa kuanza tena kulalamikia malipo!

Serikali haina fedha? Wakandarasi wadaiwa kuanza tena kulalamikia malipo!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Lile tatizo la miaka 5-10 iliyopita limrudi tena.

Serikali inadaiwa imeanza tena kutoa Tender za ujenzi bila kuwepo fedha za kuwalipa Makandarasi.

TANROADS kama idara ya serikali, pamoja na TARURA ndio watekelezaji wakuu wa miradi ya ujenzi, hasa ya barabara.

Lakini invyoelekea Taasisi hizi hazina fedha.

Mlalamiko yaliyokuwepo miaka ya nyuma juu ya urasimu katika ulipaji, yameanza kurudi kwa kai.

Nusa nusa yangu ni kwamba Wizara ya Ujenzi, haina fedha za kupeleka TANROADS ilikuwalipa Makandarasi kwa kazi zilizotekelezwa kwa wakati.
 
Mkanda Jidula hapo ndipo nakupendea tahadhari Kwa makandarasi
Wasije kwenda kichwa kichwa

Wata Bandarika wasijuwe wakumlaumu
Watakimbili kukopa kumaliza Mikataba walio ingia na Tanrod baadaye kufilisiwa na Mabenki(hukondio Kubandarika)
Tuiombee Sana Nchi Yetu
 
Hizi habari zinazidi kushika kasi.
Kwa akiliyako pesa Kwa Sasa inatoka wapi?
Mikopo inalipa Mikopo
Mwanza mnafunga Baa
Pesa nyingi inatimika kubambika Uhaini
Kuendesha Ikulu mbili siyo mchezo
Tuwe waangalifu tuta sizi muda ni mwalimu
 
Back
Top Bottom