Tetesi: Serikali haina hela.

aminiusiamini

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
3,577
Reaction score
2,224
Jamani hali ya uchumi ni tete sana.

Naona serikali inakopa kila kukicha kulipa mishahara. Deni la taifa linazidi kupanda kila kukicha.
Wastaafu na viongozi wa serikali wengine hawajapata haki zao kwa muda mrefu. Tanzania tunaenda wapi?

Naanza kuamini kuwa zengwe la kuwahujumu wapinzani (chadema) ni mipango ambayo imelengwa kudiverge issue ya uchumi ambao inaporomoka. Serikali ya magu ina-instill fear maana watu watanyanyuka na kugoma maana hali ya uchumi ni mbaya.

Tumwombe Mungu atuepushe na hili janga la uchumi kuporomoka maana matokeo hasi ya kwanza na awali,ni kuvunjika kwa amani.

Mwenyezi Mungu naomba uiliende Tanzania yetu.
 
Kugoma eeeeh.. kisa watu wanaisoma namba na kusaga meno au!?
 
kitu kama hauna dhamira nacho lazma ushindwe, hakuwa na dhamira ya kiongozi ndiyo maana anashindwa.
 
Reactions: BAK
Ni mtu asiyejitambua tu ndiye anayeweza kukubali kusukumizwa huku akijua fika kuwa uwezo wake ni ZERO.

kitu kama hauna dhamira nacho lazma ushindwe, hakuwa na dhamira ya kiongozi ndiyo maana anashindwa.
 
Akili za wapumbavu huwaza upumbavu wao wakiamini ndo mawazo endelevu

Kuna maombi hayahitaji umjue adui ila yanahitaji uombe uponyaji
 
Hivi jamani, hivi huyu Mungu mbona kama tunamuonea sana. Mporomoshaji wa uchumi tulimuweka wenyewe, tena kwa mbwembwe na vifijo vya push up na wizi wa kura.

Alichofanya Mungu ni kutuonyesha kwamba hakuwa yeye, kwa kupitia kinywa cha Mporomoshaji uchumi (nilisukumiziwa, sikujua kazi ya urais ni ngumu kiasi hiki n.k)
Leo tena bado mnataka Mungu katika wokozi wa uchumi?

Kupanga ni kuchagua.

Wapo wanaosema ni chaguo la Mungu, (hapa siweki neno)
 
Kazi inakuwa ngumu kwa sababu hataki kusikiliza mawazo ya wengine, anajidai kujua wakati hajui ABC za uchumi!! Kwa ufupi mpaka ajinyee!!
 

Chaguo la Mkapa alitaka kuwanyoosha wale ambao hawakuona alivyokuza uchumi ingawa kabla ya kuondoka alikomba kila kitu. Kikwete ni ndumila kuwili hatuwezi jua aliongea nini kwenye kamati kuu. Wapumbavu tunajiju.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…