Haiko hivi katika nchi zingine. NIsiache kumkumbuka yoga, kwetu ni kampuni la watu na familia zao.
Mifano ni mingi hata hivyo tuanzie na elimu ya juu, tuelewe ya loan board. Elimu ya juu rasmi ni private education isiyokuwa na ruzuku popote. Wanafunzi wanalipa malipo yote in full. Tuition fees, accommodation, vitabu, stationeries na vingine vyote.
Kwa hali hiyo budget ya wizara ya elimu kwa elimu ya juu ni kwa kazi gani?
Tuje hospitali ambako mazaga zaga yote ni ya kulipiwa. Kumwona daktari, operesheni, dawa, kulazwa, mortuary nk kote ni private services zinazolipiwa na wahanga wenyewe directly au indirectly kupitia bima.
Tujiulize tena bajeti za matrilioni wizara ya afya kwa ajili ya dawa mahospitalini ni kwa ajili ya nini?
Huku kunako mabehewa ya treni, umeme wa mgawo, maji nk ni mwendelezo wa upigaji ule ule ambapo kimsingi pana wao wenye kampuni na sisi tulio wateja, bidhaa na hata masoko.
Kodi, tozo, ada, faini mbalimbali, zinazoishia serikalini zina maslahi kwa nani? Polisi au mamlaka ipi Iko kusimamia maslahi ya nani?
Enyi mnaojiita wajumbe wa bodi na mameneja matawi wa hili kampuni lenu Mola anawaona.
Kwamba hamtaki hata tuhoji lolote linalotuhusu huku nyie mkiendelea kulambishana asali?
Endeleeni kujidanganya kuwa hatuwaoni na kwamba eti hatutakaa tuchukue hatua.
Mifano ni mingi hata hivyo tuanzie na elimu ya juu, tuelewe ya loan board. Elimu ya juu rasmi ni private education isiyokuwa na ruzuku popote. Wanafunzi wanalipa malipo yote in full. Tuition fees, accommodation, vitabu, stationeries na vingine vyote.
Kwa hali hiyo budget ya wizara ya elimu kwa elimu ya juu ni kwa kazi gani?
Tuje hospitali ambako mazaga zaga yote ni ya kulipiwa. Kumwona daktari, operesheni, dawa, kulazwa, mortuary nk kote ni private services zinazolipiwa na wahanga wenyewe directly au indirectly kupitia bima.
Tujiulize tena bajeti za matrilioni wizara ya afya kwa ajili ya dawa mahospitalini ni kwa ajili ya nini?
Huku kunako mabehewa ya treni, umeme wa mgawo, maji nk ni mwendelezo wa upigaji ule ule ambapo kimsingi pana wao wenye kampuni na sisi tulio wateja, bidhaa na hata masoko.
Kodi, tozo, ada, faini mbalimbali, zinazoishia serikalini zina maslahi kwa nani? Polisi au mamlaka ipi Iko kusimamia maslahi ya nani?
Enyi mnaojiita wajumbe wa bodi na mameneja matawi wa hili kampuni lenu Mola anawaona.
Kwamba hamtaki hata tuhoji lolote linalotuhusu huku nyie mkiendelea kulambishana asali?
Endeleeni kujidanganya kuwa hatuwaoni na kwamba eti hatutakaa tuchukue hatua.