Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao

Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao

Halafu kuna wakomaza Shingo utawasikia Magufuli alikuwa Dikteta!

Sasa wacha akili zitukae sawa,ili wenye kujitambua wasiurudie ujinga ifikapo 2025

#Kataawaguni

Tulipo kazi inaendelea. Fyongo elimu ya juu, afya na mengi chimbuko ni serikali ya CCM. Labda kama unataka kusema mwendazake hakuwa CCM.
 
Back
Top Bottom