Serikali haitaki watoto wa Masikini wajue lugha ya Kiingereza?

Serikali haitaki watoto wa Masikini wajue lugha ya Kiingereza?

Sio lugha ya kingereza uliza kwanini serikali haitaki watoto wapate elimu yenye tija.

Utakuja gundua serikali inapenda kundi kubwa la wajinga ili waendelee kuwatawala.

Elimu ya kuhamisha vitu kwenye kitabu kwenda kwenye karatasi ya mtihani imefanya tumekuwa na PhD wapumbavu Masters wapumbavu. Angalia tunaowaita wasomi mahali walipo tufikisha leo
Well said.
 
Mm sidhani km lugha ya kiingereza ndio muhimu ila elimu inapaswa kutolewa kulingana na mazingira ya sasa mitaala yetu haiendani na mazingira ya sasa kabisa..

Nchi km malawi, zambia, uganda, rwanda kwa sasa na nyingine nyingi zinatumia kiingereza kifundisha since kindergarten ila bado kiuchumi tumewapita.
Kwangu mimi hii ni moja ya comment bora ya mwaka
 
Mm sidhani km lugha ya kiingereza ndio muhimu ila elimu inapaswa kutolewa kulingana na mazingira ya sasa mitaala yetu haiendani na mazingira ya sasa kabisa..

Nchi km malawi, zambia, uganda, rwanda kwa sasa na nyingine nyingi zinatumia kiingereza kifundisha since kindergarten ila bado kiuchumi tumewapita.
Na mazingira ya sasa yanahitaji ufahamu lugha ya Kiingereza. Ndiyo lugha ya dunia. Kutokulijua ni kujitenga na ulimwengu.

Au unafikiri kwa nini karibia watu wote wenye "akili" wanajitahidi kuwapeleka watoto wao English medium? Hawataki watoto wao waje kukosa fursa kwa sababu ya lugha!
 
Back
Top Bottom