Well said.Sio lugha ya kingereza uliza kwanini serikali haitaki watoto wapate elimu yenye tija.
Utakuja gundua serikali inapenda kundi kubwa la wajinga ili waendelee kuwatawala.
Elimu ya kuhamisha vitu kwenye kitabu kwenda kwenye karatasi ya mtihani imefanya tumekuwa na PhD wapumbavu Masters wapumbavu. Angalia tunaowaita wasomi mahali walipo tufikisha leo
Kwangu mimi hii ni moja ya comment bora ya mwakaMm sidhani km lugha ya kiingereza ndio muhimu ila elimu inapaswa kutolewa kulingana na mazingira ya sasa mitaala yetu haiendani na mazingira ya sasa kabisa..
Nchi km malawi, zambia, uganda, rwanda kwa sasa na nyingine nyingi zinatumia kiingereza kifundisha since kindergarten ila bado kiuchumi tumewapita.
Na mazingira ya sasa yanahitaji ufahamu lugha ya Kiingereza. Ndiyo lugha ya dunia. Kutokulijua ni kujitenga na ulimwengu.Mm sidhani km lugha ya kiingereza ndio muhimu ila elimu inapaswa kutolewa kulingana na mazingira ya sasa mitaala yetu haiendani na mazingira ya sasa kabisa..
Nchi km malawi, zambia, uganda, rwanda kwa sasa na nyingine nyingi zinatumia kiingereza kifundisha since kindergarten ila bado kiuchumi tumewapita.
Halina mathara kwake. Kungelikuwa na Sheria inayolazimisha viongozi na watumishi wote wa umma kuwapeleka watoto wao shule za Serikali, shule zote zingekuwa zinafundisha kwa lugha ya Kiingereza.Namshangaa prof.Mkenda kuendelea kulikumbatia hili