johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Serikali imewataka wananchi kuelewa kwamba hakuna Malipo ya Fidia kwa walioathiriwa na bomoabomoa ya kupisha utanuzi wa barabara ya Kimara-Kibamba
Serikali imesema bomoabomoa hiyo ilitumia Sheria ya Mwaka 1932
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 🐼
Pia soma:
Serikali imesema bomoabomoa hiyo ilitumia Sheria ya Mwaka 1932
Source: Mwanahalisi Digital
Mlale Unono 🐼
Pia soma: