Hivi wale waliokuwa wameajiriwa halafu wakapewa mkopo na HESLB mf:Mfano mtu alikuwa mwalimu lakini degree akaenda kusomea uhasibu na halmashauri wakafanya recategorization hawa HESLB wanapataje? chao ili wadogo zetu nao wakatumie kusomeshea wadogo zetu wengine shuleni kwetu kata