Serikali harakisheni elimu Kwa wachambuzi wa media za Tanzania

Serikali harakisheni elimu Kwa wachambuzi wa media za Tanzania

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania

Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao

1. coach ndo anaishi na wachezaji

Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze

Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi

2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi

Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?

3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.

Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi

4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo

5 Vipindi vya michezo ni virefu mno

Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.

Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu

6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji

Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji

Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo

Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
 
Siyo wachambuzi tu pia kuna wale ambao wanatoa taarifa chonganishi na za utani ambazo wale wenyewe uwezo mdogo wa kuzitafsiri huzisambaza wakidhani nizakweli
 
1000016195.jpg
 
Wengi wao wanaongozwa na hisia/mihemko! kisa tu ni mashabiki/wanazi wa Simba.
Miredio yote michambuzi mingi ni utopolo...
Yani mpaka watu wenu wamewageuka jua mmepunyanga....
Angalia yule mwarabu koko Nasri yani ni mnazi wa Uto mpk hajielewi na ktk maelezo yake kasema hata kama mimi ni mshabiki wa Yanga hili ya SBS limeniumiza sana halitusaidii...na aliipaga Simba asilimia 4 ya ubingwa leo anajiuma uma....
Haya huyu mdogo wenu uto lia lia Hans sijui Hanse...na yy kawakataaa live..
Ujue nimegundua utopolo hawapendi kuzodolewa..yani wakiambiwa ukweli wanaandamana mpk na wazee wao..
 
Sasa wale wazee wameita waandishi wamseme Jemedari? Wametia aibu tuu aiseee..
Hivi kuna mchambuzi ambae ameongea positive kuhusu mechi ya Uto na SBS?? Sasa why Jemedari...
Hapo inaonyesha wana vitu personal na huyo Jemedari...
 
Soka la bongo ni kichwa cha mwendawazimu
Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania

Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao

1. coach ndo anaishi na wachezaji

Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze

Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi

2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi

Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?

3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.

Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi

4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo

5 Vipindi vya michezo ni virefu mno

Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.

Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu

6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji

Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji

Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo

Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
 
Sio swala la michezo mpaka mambo mengine .Yani baba levo unampa kuichambua uchumi wa tanzania.Kuna yule mpuuzi dudu baya ye kila kitu anajua kuchambua.
 
Miredio yote michambuzi mingi ni utopolo...
Yani mpaka watu wenu wamewageuka jua mmepunyanga....
Angalia yule mwarabu koko Nasri yani ni mnazi wa Uto mpk hajielewi na ktk maelezo yake kasema hata kama mimi ni mshabiki wa Yanga hili ya SBS limeniumiza sana halitusaidii...na aliipaga Simba asilimia 4 ya ubingwa leo anajiuma uma....
Haya huyu mdogo wenu uto lia lia Hans sijui Hanse...na yy kawakataaa live..
Ujue nimegundua utopolo hawapendi kuzodolewa..yani wakiambiwa ukweli wanaandamana mpk na wazee wao..
Haya sema sasa kwa sauti 🗣️ Yanga bingwa! Na kama hutaki hama nchi.
 
Sasa wale wazee wameita waandishi wamseme Jemedari? Wametia aibu tuu aiseee..
Hivi kuna mchambuzi ambae ameongea positive kuhusu mechi ya Uto na SBS?? Sasa why Jemedari...
Hapo inaonyesha wana vitu personal na huyo Jemedari...
Twende taratibu usitumie hisia
Ile mechi ya Yanga vs SBS ilikuwa na shida gani?
SBS walijifunga maksudi?
SBS walikosa kutumia nafasi ya wazi?
SBS waliachia Yanga wafungiwe tu?
SBS hawakufanya sub?
SBS walijisababishia red card?
SBS walitumika squad ya under 17?
Yaani matokeo fair 2_1
Na Singida BS walikuwa na on target za hatari 4
Mlitaka Singida BS wafanye kipi?
 
Nilikuwa Namtafutia Mwanachuo aliyekosa Ada
Ni yatima.
Aliamua ku Pospond Masomo.

Endelea kutania kazi na upumbavu wa simba na Yanga.
Tafuta kazi ya kufanya dogo
Sisi tupo humu Jamii forums tunazogoa tuna mbabga zetu, hatuna njaa kama wewe
 
Tafuta kazi ya kufanya dogo
Sisi tupo humu Jamii forums tunazogoa tuna mbabga zetu, hatuna njaa kama wewe

Wewe masikini Usiye na Elimu acha kutafuta umaarufu kupitia Mimi.

Mwenzio nipo Posta Hapa
Golden Jubilee.
 
Back
Top Bottom