Serikali harakisheni elimu Kwa wachambuzi wa media za Tanzania

Serikali harakisheni elimu Kwa wachambuzi wa media za Tanzania

Sasa wale wazee wameita waandishi wamseme Jemedari? Wametia aibu tuu aiseee..
Hivi kuna mchambuzi ambae ameongea positive kuhusu mechi ya Uto na SBS?? Sasa why Jemedari...
Hapo inaonyesha wana vitu personal na huyo Jemedari...
Huyo jemedari anachuki binafsi na yanga kama yeye ni mtu wa maana kwa nn hamtetei Aishi Manula yupo simba na mpaka leo hachezi na ni golikipa wa timu ya taifa
 
Huyo jemedari anachuki binafsi na yanga kama yeye ni mtu wa maana kwa nn hamtetei Aishi Manula yupo simba na mpaka leo hachezi na ni golikipa wa timu ya taifa
Ukisema huyu ana chuki yule hana kwenye timu fulani tutakesha kaka..
 
Sio swala la michezo mpaka mambo mengine .Yani baba levo unampa kuichambua uchumi wa tanzania.Kuna yule mpuuzi dudu baya ye kila kitu anajua kuchambua.
Kuna siku walicheza yanga kimataifa basi baada ya mpira kuisha,mic na camera zilimjalia Ndaro zikimtaka achambue kidogo kuhusu mchezo huo.
 
Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania

Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao

1. coach ndo anaishi na wachezaji

Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze

Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi

2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi

Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?

3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.

Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi

4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo

5 Vipindi vya michezo ni virefu mno

Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.

Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu

6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji

Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji

Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo

Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
JKT Tanzania 0 - Yanga 0

JKT Tanzania walimuhonga nani kupata matokeo?

Yanga 1 - Tabora Utd 3
Tabora Utd walimuhonga nani?
 
Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania

Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao

1. coach ndo anaishi na wachezaji

Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze

Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi

2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi

Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?

3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.

Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi

4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo

5 Vipindi vya michezo ni virefu mno

Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.

Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu

6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji

Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji

Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo

Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
upuuzi mtupu, nikadhani una agenda yenye mantiki kumbe mpira
 
Back
Top Bottom