Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si alishapata? Heee
SIMBA BINGWAAAAAHaya sema sasa kwa sauti 🗣️ Yanga bingwa! Na kama hutaki hama nchi.
Huyo jemedari anachuki binafsi na yanga kama yeye ni mtu wa maana kwa nn hamtetei Aishi Manula yupo simba na mpaka leo hachezi na ni golikipa wa timu ya taifaSasa wale wazee wameita waandishi wamseme Jemedari? Wametia aibu tuu aiseee..
Hivi kuna mchambuzi ambae ameongea positive kuhusu mechi ya Uto na SBS?? Sasa why Jemedari...
Hapo inaonyesha wana vitu personal na huyo Jemedari...
Ukisema huyu ana chuki yule hana kwenye timu fulani tutakesha kaka..Huyo jemedari anachuki binafsi na yanga kama yeye ni mtu wa maana kwa nn hamtetei Aishi Manula yupo simba na mpaka leo hachezi na ni golikipa wa timu ya taifa
Basi nyie mtakua Bingwa wa Uzuzu...Bingwa wa umbumbumbu
Hehehe!!!!Ulipata Kazi?
Kuna siku walicheza yanga kimataifa basi baada ya mpira kuisha,mic na camera zilimjalia Ndaro zikimtaka achambue kidogo kuhusu mchezo huo.Sio swala la michezo mpaka mambo mengine .Yani baba levo unampa kuichambua uchumi wa tanzania.Kuna yule mpuuzi dudu baya ye kila kitu anajua kuchambua.
JKT Tanzania 0 - Yanga 0Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania
Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao
1. coach ndo anaishi na wachezaji
Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze
Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi
2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi
Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?
3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.
Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi
4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo
5 Vipindi vya michezo ni virefu mno
Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.
Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu
6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji
Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji
Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo
Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
Mshauri akalime zabibu si yuko DodomaTafuta kazi ya kufanya dogo
Sisi tupo humu Jamii forums tunazogoa tuna mbabga zetu, hatuna njaa kama wewe
HeheheWewe masikini Usiye na Elimu acha kutafuta umaarufu kupitia Mimi.
Mwenzio nipo Posta Hapa
Golden Jubilee.
upuuzi mtupu, nikadhani una agenda yenye mantiki kumbe mpiraNimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania
Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao
1. coach ndo anaishi na wachezaji
Coach ndo anajua mchezaji amefanya nini kwenye uwanja wa mazoezi
Anaye perform Kwenye mazoezi ndo anapewa mechi acheze
Hawezi pesa mechi mchezaji aliyeonyesha kiwango kibovu mazoezi ili wachambuzi wafurahi
2. Kila mchezaji aliyesajiliwa kwenye timu husika ana haki ya kucheza kwenye mechi
Kwani wale wachezaji walitoka under 17 ya SBS?
3 Tuhuma za upangaji matokeo zinataka uthibitisho sio hisia.
Hawa ukiwapeleka mahakamani wanafungwa asubuhi
4 Wachambuzi wajikite kuchambua tactics za michezo
5 Vipindi vya michezo ni virefu mno
Watu wanakaa redioni masaa 4, mnaongelea Nini kwenye michezo.
Sijawahi ona sky sport na media kubwa wachambuzi wanakaa wanaongelea upumbavu,
Yaani wanachambua michezo story inaisha wanaanza kuchafua watu
6. Wachambuzi hawajui biashara ya wachezaji
Yaani mchambuzi hajui kocha na wachezaji Huwa wanauzwa na kuhama.
Utasikia timu hizi zinapeana wachezaji
Wachezaji wengi wametoka Arsenal na kuhamia Man City
Kwaiyo Arsenal na Man City Huwa zinapanga matokeo
Wachambuzi wajiendeleze na TCRA ingilia kati upotoshaji wa maksudi
Watani zako wanaenda kuloga Pangani hukoSIMBA BINGWAAAAA
Aibuuu...ahahahWatani zako wanaenda kuloga Pangani huko
Eri hersi ndio kazi yake. Aweso amemwambia mama mkubwa