Serikali hii haijali maisha yetu kabisaa

Serikali hii haijali maisha yetu kabisaa

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Kama baba na mama wanakula na kulala vizuri halafu hawajui kabisa watoto wanakula Nini au wamekula Nini, hiyo familia inakuwa ni kama yatima tu

Haiwezekani siku mbili hakuna umeme nitaishije Mimi kama maisha yangu yanategemea umeme kila siku,

Halafu mnajiita viongozi mnakula na kulala vizuri huku watoto wenu wakicheza game kwenye tv mbona mitaa nyinyi mnayoishi umeme haukatiki?

Mpaka mwaka 2100 naamini tutakuwa pamoja na hayo mavitu mliojilimbikizia kwa jasho letu mtaviacha tu.
 
Ningesema wanakuona Kama nyani lakini nasikia ukijiita nyani Ni kosa, Ila ukijiita chawa unapigiwa makofi.

Vumilia ndugu 2025 sio mbali.
 
Raisi hata aje huyo umtakaye hawezi badili maisha yako na familia yako. Pambania maendeleo yako achana na wanasiasa ,wao pia wanapigania maisha yao na familia zao.

Ukiweza na wewe ingia siasani pengune utaukwaa hata uwaziri halafu ukabadili maisha ya wananchi hivo unavofikiri kama unadhani inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama baba na mama wanakula na kulala vizuri halafu hawajui kabisa watoto wanakula Nini au wamekula Nini, hiyo familia inakuwa ni kama yatima tu

Haiwezekani siku mbili hakuna umeme nitaishije Mimi kama maisha yangu yanategemea umeme kila siku,

Halafu mnajiita viongozi mnakula na kulala vizuri huku watoto wenu wakicheza game kwenye tv mbona mitaa nyinyi mnayoishi umeme haukatiki?

Mpaka mwaka 2100 naamini tutakuwa pamoja na hayo mavitu mliojilimbikizia kwa jasho letu mtaviacha tu.
Sijui kwanini watanzania hawaelewi kuwa tatizo ni huu mfumo CCM?!!!
 
Back
Top Bottom