Serikali hii nashindwa kuielewa, sijaona unafuu baada ya ruzuku ya mafuta

Serikali hii nashindwa kuielewa, sijaona unafuu baada ya ruzuku ya mafuta

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Kwa muelekeo sijaona unafuu wowote wa kuamua kusaidia suala la mafuta serikali ilitoa ruzuku ya mabilioni lakini nauli bado zipo palepale hazijashuka Bora msingetangaza kwa wananchi huo ni unafiki wa kiwango Cha juu Sana
 
Back
Top Bottom