Serikali hii si haki! Eti kwa sababu mtu kapoteza vyeti basi hana haki ya interview

Serikali hii si haki! Eti kwa sababu mtu kapoteza vyeti basi hana haki ya interview

Akiingia bila cheti nini kitaonesha kuwa hakuwa nacho? Yaani tofauti yake na aliyeingia na cheti itaonekana wapi? Maana hata mwenye cheti si atarudi nacho kwake?? Hao wa mlangoni hawana akili nao, sio kila amri au maagizo ni ya kufuata.. fuata maagizo halali tu yenye mantiki
Kuna watu wengine wakisha pewa vibarua na mkataba wanakua kama wakata umeme wao!!
 
Umeisoma katiba?

Ina Gusa directly issue ya kupotea vyeti?
Haki ya binadamu ni kumaliza ngazi zote bila kufoji mahala popote. Mi sijafoji popote. I'm entitle to every employ vacancy
 
That's is not fair kabisa
Pole Sana
Kuna watu wanaroho za kichawi humu
 
Back
Top Bottom