Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pesa ikikaa sehemu moja ni rahisi kuipiga kuliko ukiitawanya walaji watakuwa wengi, ndiyo maana dikteta kila kitu alikuwa anaficha jeshiniLabda mimi sielewi maana ya kujenga upya ina maana yale majengo yanabomolewa pale muhimbiri? Kwa tunaokwenda muhimbili mara kwa mara tunaweza kukubaliana kuwa hichi anachisema Waziri hakina msingi kabisa maana kama ni muhimbili basi majengo baadhi yanahitaji ukarabati tuu na unadhifu tuu lakini sio kujengwa upya...huu ni uropokaji tuu wa waziri! Kuna maeneo mengi hayana hospitali zikajengwe na muhimbili iboreshewe vifaa tiba na madawa !