Serikali iachane na kauli ya kutoa bure huduma za jamii, inapumbaza

Serikali iachane na kauli ya kutoa bure huduma za jamii, inapumbaza

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.

Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!

Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitajika kuchnagia au kulipia.

Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi ya sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii. Tangu wakati huo hakuna tena huduma za bure nchi hii.

Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
 
Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.

Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!

Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitaji kuchangia.

Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi na sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii.

Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
WAjua shida inaanzia pale unapowambia watu mfano wajawazito watapata huduma bure na sasa baadaye waambwe walipe hapo daktari ataonekana anataka kupiga pesa. Yale yale ya hospitali kushikilia maiti halafu akalaumiwa daktari kumbee akiiachia serikali itasema alikula pesa.

La kufanya wataje specifically mambo ambayo tuseme mjamzito halipii, na wahakikishe kweli hayalipii mengine awe anajua kabisa anapaswa kuchangia hata kama ni kidogo.

Mwambie mtu labda kwenda clinic kumwona daktari na zile huduma ni bure, lakini labda dawa utalipia.
Labda ukija kujifungua vifaa na kila kitu utanunua. Sasa ukimwamba mtu ni bure na watanzanai tunapenda bure halafu aje hapo aambiwe toa 50000 unadhani atakuelewa.

Umewahi kuona mtu anaenda kupanda train au airt tanzania bure? Kwa sababu hawajawahi kusema ni bure.
 
Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.

Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!

Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitaji kuchangia.

Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi na sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii.

Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Hata maumuzi ya kisiasa husababisha biashara kushamili ama kufa kabisaa, tunaongozwa kwa unyumbu wa kisiasa,

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a.k.a kujizima data, kwasasa uchawa, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo
 
Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.

Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!

Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitaji kuchangia.

Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi na sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii.

Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Safi kabisa, uzi mzuri kabisa siyo wa yule mwingine anamtuhumu Chalamila hadi anamuombea afukuzwe ukuu wa mkoa wakati Chalamila yupo sahihi na kaongea ukweli

Jana pia nimevuka na seatax za Azam kwenda Kigamboni kwa sh 500
 
1. Tuna maziwa makubwa matatu ( Mito na maziwa madogo madogo ndio usiseme)

2. Tuna mlima mrefu kupita yote Africa namba 2 duniani

3.Tuna madini ya kila aina

4. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)

5. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.

6. Tuna bahari

7. Tuna Mbuga za Wanyama.

8. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.

.....

Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.

Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.

Mtanzania amka. Zijue haki zako.
 
Hakuna bure, hata hizo bure wanazosema ni propaganda tu. Kuna gharama nyingi ambazo ni informal watu wanalipia kwenye taasisi zetu, huwezi kusema ni bure, hakuna bure!!!
 
Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.

Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!

Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitaji kuchangia.

Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi na sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii.

Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Someni vizuri sera ya uchangiaji. Makundi maalum ni bure kwa wale wasiojiweza tu.

Mnawaachia wanasiasa wawatafsirie kwa faida za kisiasa halafu huduma zikiwa mbovu mnakuna hapa kulialia. Aliye na nakala ya hiyo sera aiweke hapa tuone tutakavyoumbuka
 
1. Tuna maziwa makubwa matatu ( Mito na maziwa madogo madogo ndio usiseme)

2. Tuna mlima mrefu kupita yote Africa namba 2 duniani

3.Tuna madini ya kila aina

4. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)

5. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.

6. Tuna bahari

7. Tuna Mbuga za Wanyama.

8. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.

.....

Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.

Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.

Mtanzania amka. Zijue haki zako.
Hakuna cha bure

BURE ni gharama zaidi
 
1. Tuna maziwa makubwa matatu ( Mito na maziwa madogo madogo ndio usiseme)

2. Tuna mlima mrefu kupita yote Africa namba 2 duniani

3.Tuna madini ya kila aina

4. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)

5. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.

6. Tuna bahari

7. Tuna Mbuga za Wanyama.

8. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.

.....

Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.

Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.

Mtanzania amka. Zijue haki zako.
Na mna watu milioni 60 pia.
 
Someni vizuri sera ya uchangiaji. Makundi maalum ni bure kwa wale wasiojiweza tu.

Mnawaachia wanasiasa wawatafsirie kwa faida za kisiasa halafu huduma zikiwa mbovu mnakuna hapa kulialia. Aliye na nakala ya hiyo sera aiweke hapa tuone tutakavyoumbuka
Achana na hizo porojo za sera, Tanzania bado haijafikia level ya kutoa huduma za elimu na afya bure.
 
WAjua shida inaanzia pale unapowambia watu mfano wajawazito watapata huduma bure na sasa baadaye waambwe walipe hapo daktari ataonekana anataka kupiga pesa. Yale yale ya hospitali kushikilia maiti halafu akalaumiwa daktari kumbee akiiachia serikali itasema alikula pesa.
La kufanya wataje specifically mambo ambayo tuseme mjamzito halipii, na wahakikishe kweli hayalipii mengine awe anajua kabisa anapaswa kuchangia hata kama ni kidogo. Mwambie mtu labda kwenda clinic kumwona daktari na zile huduma ni bure, lakini labda dawa utalipia.
Labda ukija kujifungua vifaa na kila kitu utanunua. Sasa ukimwamba mtu ni bure na watanzanai tunapenda bure halafu aje hapo aambiwe toa 50000 unadhani atakuelewa.
Umewahi kuona mtu anaenda kupanda train au airt tanzania bure? Kwa sababu hawajawahi kusema ni bure.
Sahihi kabisa mkuu, inakuwa mkanganyiko mkubwa unapomwambia mtu huduma ni bure halafu akifika hospitali au shule unamtaka tena alipie. Lugha sahihi ilipaswa kuwa gharama nafuu za elimu au matibabu.
 
Bure is ghost phenomena

Bure is the myth

Inatakiwa tuzizoeshe akili zetu kuchangua kila huduma unayopata.

Mathalani pale hospital au zahanati au kituo cha afya kuna majengo maji umeme wataalamu vifaa tiba n.k sasa hivi vyote analipa nani?

Sasa hapa hiyo bure ni burere bureeee mara bweleeeeee gani watu huwa wanaizungumza???

Hamna kitu kama hicho. Wewe kama unaumwa uwe na bima au lipia basi upate huduma hizo siasa ziache majukwaani
 
Bure is ghost phenomena

Bure is the myth

Inatakiwa tuzizoeshe akili zetu kuchangua kila huduma unayopata. Hivi pale hospital au zahanati au kitoa cha afya kuna majengo maji umeme wataalamu vifaa tiba n.k sasa hivi vote analipa nani?

Sasa hapa hiyo bure ni bure bure gani???

Hamna kitu kama hicho unaumwa uwe na bima au lipia basi
Wanasiasa Ndiyo wapumbavu wanawaambia wananchi kuhusu huduma bure wakijua haiwezekani

Upumbavu ni kipaji, mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi, a.k.a kujizima data
 
1. Tuna maziwa makubwa matatu ( Mito na maziwa madogo madogo ndio usiseme)

2. Tuna mlima mrefu kupita yote Africa namba 2 duniani

3.Tuna madini ya kila aina

4. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)

5. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.

6. Tuna bahari

7. Tuna Mbuga za Wanyama.

8. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.

.....

Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.

Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.

Mtanzania amka. Zijue haki zako.
Mzee wa English medium nipo stationary hapa nawekea hizo point zako lamination.
 
Back
Top Bottom