LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
1. Tuna maziwa makubwa matatu.
2. Tuna madini ya kila aina
3. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)
4. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.
5. Tuna bahari
6. Tuna Mbuga za Wanyama.
7. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.
.....
Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.
Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.
Mtanzania amka. Zijue haki zako
2. Tuna madini ya kila aina
3. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)
4. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.
5. Tuna bahari
6. Tuna Mbuga za Wanyama.
7. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.
.....
Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.
Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.
Mtanzania amka. Zijue haki zako