Je hatuna akili kweli? Mimi nadhani waliopewa dhamana Wana tatizo gorofani, kuhusu gesi nadhani inaenda chini kwa chini kuelekea kwa hao waendesha mradi wa gesi1. Tuna maziwa makubwa matatu ( Mito na maziwa madogo madogo ndio usiseme)
2. Tuna mlima mrefu kupita yote Africa namba 2 duniani
3.Tuna madini ya kila aina
4. Tuna gesi ya kutosha ( which means na mafuta tutakuwa nayo pia)
5. Tuna ardhi yenye rutuba ya kutosha.
6. Tuna bahari
7. Tuna Mbuga za Wanyama.
8. Tunalipa Kodi mbalimbali kupitia bidhaa mbalimbali tunazo nunua.
.....
Kupata huduma bora bila kulipa chochote ni haki yetu ya msingi na kikatiba.
Nchi ni ya kwetu sisi Sio ya viongozi.
Mtanzania amka. Zijue haki zako.
Kama amejizima data muwashie waifai😃😃😃Wanasiasa Ndiyo wapumbavu wanawaambia wananchi kuhusu huduma bure wakijua haiwezekani
Upumbavu ni kipaji, mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi, a.k.a kujizima data
Hizo sera ni za kwenye makaratasi tu ila uhalisia haipo hivyo. Yaani sawa wanandoa wanapo kula kiapo kanisani ya kuwa hawataachana halafu baada ya muda wanaachana.Someni vizuri sera ya uchangiaji. Makundi maalum ni bure kwa wale wasiojiweza tu.
Mnawaachia wanasiasa wawatafsirie kwa faida za kisiasa halafu huduma zikiwa mbovu mnakuna hapa kulialia. Aliye na nakala ya hiyo sera aiweke hapa tuone tutakavyoumbuka
Soma vizuri nlichoandika. Sera haijatoa blanket exemption to all under fives or pregnant women. But some of us with directions from politicians are interpreting erroneously so.Hizo sera ni za kwenye makaratasi tu ila uhalisia haipo hivyo. Yaani sawa wanandoa wanapo kula kiapo kanisani ya kuwa hawataachana halafu baada ya muda wanaachana.
Tangu uwepo wapi Tanzania hii uliskia kuna huduma ya bure mahala popote pale?Hii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.
Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!
Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitajika kuchnagia au kulipia.
Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi ya sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii. Tangu wakati huo hakuna tena huduma za bure nchi hii.
Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Kuna sayansi ya siasa,ikiitoa hii atakuwa mwingine anakubwaga chiniHii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.
Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!
Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitajika kuchnagia au kulipia.
Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi ya sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii. Tangu wakati huo hakuna tena huduma za bure nchi hii.
Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Unakataa sera yetu ya chama cha mambuzi eenhHii kauli ya bure iliyoanza katika elimu awamu ya tano na sasa imeshika kasi haifai kabisa, imekaa kisiasa zaidi, kilaghai na kipropaganda. Inazua tafrani kubwa kama zilivyotokea kwa kauli ya Chalamila na mama mjamzito aliyempigia simu.
Huko kwenye Elimu inaposemwa ni bure ukweli ni kwamba ada tu ndio hailipwi ila wanafunzi wanachangia michango mingine mingi sana. Sasa hapo elimu inakuaje bure?!
Katika hospital pia huduma haziwezi kuwa bure, zinaweza kuwa nafuu ila haiwezekani zikawa bure, lazima tu kuna sehemu mtu au mgonjwa atahitajika kuchnagia au kulipia.
Ukweli ni kwamba tangu enzi za Mwinyi kupitia mageuzi ya uchumi ya sera za World Bank na IMF za Structural Adjustments Program(SAPs) serikali ilifikia muafaka na wakopeshaji na wafadhili wake kuachana na sera za bure katika huduma za jamii. Tangu wakati huo hakuna tena huduma za bure nchi hii.
Bure sio uhalisia, ni kauli ya kupumbaza, inayotoa matumaini hewa na pia huduma zisizo na ubora wa kuridhisha. Serikali iondokane nayo, watu waishi katika uhalisia.
Wanasiasa wamedanganya... Tuwekee na sera ya uchangiaji tuone kama imeandika hivyo.Unakataa sera yetu ya chama cha mambuzi eenhView attachment 3215574
Sasa hao wanasiasa si ndio wanaendesha nchi sasaWanasiasa wamedanganya... Tuwekee na sera ya uchangiaji tuone kama imeandika hivyo.
Nchi inaongozwa na technocrats. Weka sera hapa tuidadavue na tuone kama wameandika bure kila kituSasa hao wanasiasa si ndio wanaendesha nchi sasa
Hapana, ni technocratsSasa hao wanasiasa si ndio wanaendesha nchi sasa
Yes Exactly. Kumwambia mtu ule Ukweli unamweka awe huru japokuwa Ukweli huwa unamaumivu yake i.e. unauma.Safi kabisa, uzi mzuri kabisa siyo wa yule mwingine anamtuhumu Chalamila hadi anamuombea afukuzwe ukuu wa mkoa wakati Chalamila yupo sahihi na kaongea ukweli
Jana pia nimevuka na seatax za Azam kwenda Kigamboni kwa sh 500
Kwanza vitu vya bure huwa havina ubora wowoteHata elimu inayonadiwa ni bure sio bure