Serikali iachane na wazo la kwenda kujenga nchi za nje kwa kisingizio cha uwekezaji, tujikite kuijenga nchi yetu iwe na hadhi ya kimataifa

Serikali iachane na wazo la kwenda kujenga nchi za nje kwa kisingizio cha uwekezaji, tujikite kuijenga nchi yetu iwe na hadhi ya kimataifa

Aisee pole sana! Wewe ndio unastahili ukaombewe maana hujui ulisemalo.
Ni serikali gani inahusika na kufanya biashara.
Ungekuwa na akili ungeelewa hata makosa ya uandishi kwenye comment yako maana umesema matajiri na wafanyabishara huzunguka kuwekeza popote duniani na sijaona umetaja kama ni wizara gani ya serikali gani?
Pole sana ndugu
Kampuni zote za China zinazojenga barabara na reli nk Tanzania ni kampuni za serikali asilimia 100 na hutengenza faida ya kufa mtu ili faida itumike kuendesha serikali sio tu kutegemea kodi za raia wa china
 
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na pia kusaidia taifa kuondokana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana wa kitanzania.

Baadhi ya uwekezaji unaoweza kufanywa na fedha hizo na tukapata matunda makubwa kama taifa ni:

1. Ujenzi wa kiwanja standard kitachochukua michezo yote ya olimpiki kwa mfano kile cha Budapest kilicho host mashindano ya Track world championship mwaka 2023. Kiwanja hiki kikijengwa karibu na bichi zetu kubwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na utalii wa baharini au ziwani kitakuwa na manufaa sana kwa taifa hili. Kwa sababu siku moja kama taifa tunaweza tukajikuta tumepewa hadhi ya kuandaa mashindano ya olympiki na dunia nzima ikaja Tanzania kushiriki mashindano hayo.

2. Ujenzi wa masoko ya kisasa yenye vizimba kila wilaya Tanzania kwa ajili ya kurasimisha biashara ndogo ndogo za machinga Tanzania. Hapa kama nchi tutakuwa tumeongeza tax base kwa wafanya biashara wadogo wadogo ambao wengi wao sio walipa kodi wazuri.

3. Ujenzi wa bandari kavu kubwa na ya kisasa mkoani Morogoro kwa ajili ya kontena zote zinazoingia kwa wingi pale bandarini Dar es salaam. Kwa kuwa tumekamilisha reli yetu ya SGR, sioni haja ya mizigo kulundika bandarini Dar. Hivyo wateja wetu wa hapa ndani hawatakuwa na sababu za kuwacheleweshea kuchukua mizigo yao kwa sababu, mteja mwenyewe ataamua kuchukulia mzigo wake kwenye bandari ya Dar au Morogoro. Kwa bandari hii kavu mkoani Morogoro uchumi wa nchi hauwezi lala kamwe na mizigo haitazidi kwenye bandari yetu ya Dar.

4. Kwa pesa hizo zinazoenda kuteketezwa huko nje, ni bora serikali iende ikajenge chuo kikuu mkoani Mara (Musoma) wakiite MUSOMA UNIVERSITY OF SPORTS AND ATHLETICS (MUSA) hiki chuo kitakuwa mahususi kwa ajili ya kukuza sekta ya michezo na riadha Tanzania ukizingatia mkoa wa Mara umepakana na nchi ya Kenya na Uganda ambazo ni mahususi na maarufu katika michezo ya riadha. Kwa kukijenga chuo hicho tutakuwa tumefungua uchumi mkubwa wa kanda ziwa kwa sababu chuo cha namna hiyo hakipo huko. Wanafunzi wengi kutoka nchi za Afrika mashariki pia watakuja kusoma michezo na kuongeza utalii kwa mbuga ya Serengeti iliyo hapo karibu.

Hayo ni baadhi ya fursa ambazo tunaweza kufanya hapa nchini kwetu Tanzania kwa pesa ambazo wizara ya mambo ya nje inataka ikateketeze huko nje kwa kisingizio eti kujenga majengo. Serikali tuonee huruma watu wa taifa hili, pesa hizo wekezeni hapa nyumbani kukuza ajira na uchumi wa vijana wa kitanzania na taifa kwa ujumla kwa baadhi ya miradi niliyoianisha hapo juu.

Pia soma

Ushauri mzuri sana, lakini kwakuwa hiyo ni fursa nzuri ya upigaji ambao utakuwa rahisi sana. Na wameshapanga na kukubaliana hiyo dili, hakuna mtu atakubali kukusikiliza. Hilo ni dili na limeshawekwa sawa. Mbaya zaidi ni hela za NSSF, wanajua hilo ndio shamba la bibi.
 
Kampuni zote za China zinazojenga barabara na reli nk Tanzania ni kampuni za serikali asilimia 100 na hutengenza faida ya kufa mtu ili faida itumike kuendesha serikali sio tu kutegemea kodi za raia wa china
Yaani wewe jamaa ndo maana nikakwambia hujui unaongea nini! Huo ni uwekezaji ambao nchi nyingi tu makini zinafanya hivyo, shida ya huu wetu ni kwenda kujinga migorofa kwenye nchi za watu na kujidai eti huo nao ni uwekezaji. Kwanza pesa yetu tu madafu, pesa ambayo unaenda kujenga tower mbili Nairobi au South Afrika hapa Tanzania unajenga tower kama hizo 7 hadi 10 na majiji yetu yakapendeza
 
Kuna majengo pacha (tower) serikali imesema itajenga Nairobi Kenya, na nchi nyinginezo duniani
Doooo! Hi nchi kweli inachekesha

Kwahiyo wameshamaliza kuwekeza ndani na Sasa wanataka kwenda kuwekeza nchi za nje?

Hilo wazo ni la bi mkubwa au ndio anapelekwa pelekwa Ili watu wapige pesa
 
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na pia kusaidia taifa kuondokana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana wa kitanzania.

Baadhi ya uwekezaji unaoweza kufanywa na fedha hizo na tukapata matunda makubwa kama taifa ni:

1. Ujenzi wa kiwanja standard kitachochukua michezo yote ya olimpiki kwa mfano kile cha Budapest kilicho host mashindano ya Track world championship mwaka 2023. Kiwanja hiki kikijengwa karibu na bichi zetu kubwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na utalii wa baharini au ziwani kitakuwa na manufaa sana kwa taifa hili. Kwa sababu siku moja kama taifa tunaweza tukajikuta tumepewa hadhi ya kuandaa mashindano ya olympiki na dunia nzima ikaja Tanzania kushiriki mashindano hayo.

2. Ujenzi wa masoko ya kisasa yenye vizimba kila wilaya Tanzania kwa ajili ya kurasimisha biashara ndogo ndogo za machinga Tanzania. Hapa kama nchi tutakuwa tumeongeza tax base kwa wafanya biashara wadogo wadogo ambao wengi wao sio walipa kodi wazuri.

3. Ujenzi wa bandari kavu kubwa na ya kisasa mkoani Morogoro kwa ajili ya kontena zote zinazoingia kwa wingi pale bandarini Dar es salaam. Kwa kuwa tumekamilisha reli yetu ya SGR, sioni haja ya mizigo kulundika bandarini Dar. Hivyo wateja wetu wa hapa ndani hawatakuwa na sababu za kuwacheleweshea kuchukua mizigo yao kwa sababu, mteja mwenyewe ataamua kuchukulia mzigo wake kwenye bandari ya Dar au Morogoro. Kwa bandari hii kavu mkoani Morogoro uchumi wa nchi hauwezi lala kamwe na mizigo haitazidi kwenye bandari yetu ya Dar.

4. Kwa pesa hizo zinazoenda kuteketezwa huko nje, ni bora serikali iende ikajenge chuo kikuu mkoani Mara (Musoma) wakiite MUSOMA UNIVERSITY OF SPORTS AND ATHLETICS (MUSA) hiki chuo kitakuwa mahususi kwa ajili ya kukuza sekta ya michezo na riadha Tanzania ukizingatia mkoa wa Mara umepakana na nchi ya Kenya na Uganda ambazo ni mahususi na maarufu katika michezo ya riadha. Kwa kukijenga chuo hicho tutakuwa tumefungua uchumi mkubwa wa kanda ziwa kwa sababu chuo cha namna hiyo hakipo huko. Wanafunzi wengi kutoka nchi za Afrika mashariki pia watakuja kusoma michezo na kuongeza utalii kwa mbuga ya Serengeti iliyo hapo karibu.

Hayo ni baadhi ya fursa ambazo tunaweza kufanya hapa nchini kwetu Tanzania kwa pesa ambazo wizara ya mambo ya nje inataka ikateketeze huko nje kwa kisingizio eti kujenga majengo. Serikali tuonee huruma watu wa taifa hili, pesa hizo wekezeni hapa nyumbani kukuza ajira na uchumi wa vijana wa kitanzania na taifa kwa ujumla kwa baadhi ya miradi niliyoianisha hapo juu.

Pia soma
Huo ni mchongo wa wizi wa ndugu huyu January Makamba, wazuri hawafi.Ndugu huyu ni mtu mwizi, fisadi na hasiye na uwezo wa kufikiri kwani kichwani ni mweupe kabisa.
Nchi yetu kwa bahati mbaya, watu wengi wasio na uwezo wa akili za, kufikiri ndio viongoz. Watu hawa ni wezi wa mali ya umma na kila muda wanafikiria na kuiba . Watu hawa wanafikiria kuwa kuwa, kiongoz ni kuiba mali ya umma na kujilimbikizia mali.
 
Ushauri mzuri sana, lakini kwakuwa hiyo ni fursa nzuri ya upigaji ambao utakuwa rahisi sana. Na wameshapanga na kukubaliana hiyo dili, hakuna mtu atakubali kukusikiliza. Hilo ni dili na limeshawekwa sawa. Mbaya zaidi ni hela za NSSF, wanajua hilo ndio shamba la bibi.
Ni kweli kabisa hao jamaa calculation zao ni kuvuna tu wasipopanda
 
Huo ni mchongo wa wizi wa ndugu huyu January Makamba, wazuri hawafi.Ndugu huyu ni mtu mwizi, fisadi na hasiye na uwezo wa kufikiri kwani kichwani ni mweupe kabisa.
Nchi yetu kwa bahati mbaya, watu wengi wasio na uwezo wa akili za, kufikiri ndio viongoz. Watu hawa ni wezi wa mali ya umma na kila muda wanafikiria na kuiba . Watu hawa wanafikiria kuwa kuwa, kiongoz ni kuiba mali ya umma na kujilimbikizia mali.
Kwa kweli inasikitisha sana
 
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na pia kusaidia taifa kuondokana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana wa kitanzania.

Baadhi ya uwekezaji unaoweza kufanywa na fedha hizo na tukapata matunda makubwa kama taifa ni:

1. Ujenzi wa kiwanja standard kitachochukua michezo yote ya olimpiki kwa mfano kile cha Budapest kilicho host mashindano ya Track world championship mwaka 2023. Kiwanja hiki kikijengwa karibu na bichi zetu kubwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na utalii wa baharini au ziwani kitakuwa na manufaa sana kwa taifa hili. Kwa sababu siku moja kama taifa tunaweza tukajikuta tumepewa hadhi ya kuandaa mashindano ya olympiki na dunia nzima ikaja Tanzania kushiriki mashindano hayo.

2. Ujenzi wa masoko ya kisasa yenye vizimba kila wilaya Tanzania kwa ajili ya kurasimisha biashara ndogo ndogo za machinga Tanzania. Hapa kama nchi tutakuwa tumeongeza tax base kwa wafanya biashara wadogo wadogo ambao wengi wao sio walipa kodi wazuri.

3. Ujenzi wa bandari kavu kubwa na ya kisasa mkoani Morogoro kwa ajili ya kontena zote zinazoingia kwa wingi pale bandarini Dar es salaam. Kwa kuwa tumekamilisha reli yetu ya SGR, sioni haja ya mizigo kulundika bandarini Dar. Hivyo wateja wetu wa hapa ndani hawatakuwa na sababu za kuwacheleweshea kuchukua mizigo yao kwa sababu, mteja mwenyewe ataamua kuchukulia mzigo wake kwenye bandari ya Dar au Morogoro. Kwa bandari hii kavu mkoani Morogoro uchumi wa nchi hauwezi lala kamwe na mizigo haitazidi kwenye bandari yetu ya Dar.

4. Kwa pesa hizo zinazoenda kuteketezwa huko nje, ni bora serikali iende ikajenge chuo kikuu mkoani Mara (Musoma) wakiite MUSOMA UNIVERSITY OF SPORTS AND ATHLETICS (MUSA) hiki chuo kitakuwa mahususi kwa ajili ya kukuza sekta ya michezo na riadha Tanzania ukizingatia mkoa wa Mara umepakana na nchi ya Kenya na Uganda ambazo ni mahususi na maarufu katika michezo ya riadha. Kwa kukijenga chuo hicho tutakuwa tumefungua uchumi mkubwa wa kanda ziwa kwa sababu chuo cha namna hiyo hakipo huko. Wanafunzi wengi kutoka nchi za Afrika mashariki pia watakuja kusoma michezo na kuongeza utalii kwa mbuga ya Serengeti iliyo hapo karibu.

Hayo ni baadhi ya fursa ambazo tunaweza kufanya hapa nchini kwetu Tanzania kwa pesa ambazo wizara ya mambo ya nje inataka ikateketeze huko nje kwa kisingizio eti kujenga majengo. Serikali tuonee huruma watu wa taifa hili, pesa hizo wekezeni hapa nyumbani kukuza ajira na uchumi wa vijana wa kitanzania na taifa kwa ujumla kwa baadhi ya miradi niliyoianisha hapo juu.

Pia soma
Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye sheria za nchi namna ya kudhibiti wizi wa namna hii
 
Hapo lengo ni rushwa na siyo uwekezaji, pale Kigamboni kuna mradi umetelekezwa wa mabilioni ya watanzania hakuna anayejali sababu aliyeanzisha kavuta rushwa kubwa na kukaa pembeni
 
Hapo lengo ni rushwa na siyo uwekezaji, pale Kigamboni kuna mradi umetelekezwa wa mabilioni ya watanzania hakuna anayejali sababu aliyeanzisha kavuta rushwa kubwa na kukaa
Yaani nchi za wenzetu wenye akili wavumbuzi na professional kama akina Elon Musk, Bill Gates ndio matajiri wakubwa ila bongo bahati mbaya wanasiasa with zero brain ndio matajiri wa kupindukia
 
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na pia kusaidia taifa kuondokana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana wa kitanzania.

Baadhi ya uwekezaji unaoweza kufanywa na fedha hizo na tukapata matunda makubwa kama taifa ni:

1. Ujenzi wa kiwanja standard kitachochukua michezo yote ya olimpiki kwa mfano kile cha Budapest kilicho host mashindano ya Track world championship mwaka 2023. Kiwanja hiki kikijengwa karibu na bichi zetu kubwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na utalii wa baharini au ziwani kitakuwa na manufaa sana kwa taifa hili. Kwa sababu siku moja kama taifa tunaweza tukajikuta tumepewa hadhi ya kuandaa mashindano ya olympiki na dunia nzima ikaja Tanzania kushiriki mashindano hayo.

2. Ujenzi wa masoko ya kisasa yenye vizimba kila wilaya Tanzania kwa ajili ya kurasimisha biashara ndogo ndogo za machinga Tanzania. Hapa kama nchi tutakuwa tumeongeza tax base kwa wafanya biashara wadogo wadogo ambao wengi wao sio walipa kodi wazuri.

3. Ujenzi wa bandari kavu kubwa na ya kisasa mkoani Morogoro kwa ajili ya kontena zote zinazoingia kwa wingi pale bandarini Dar es salaam. Kwa kuwa tumekamilisha reli yetu ya SGR, sioni haja ya mizigo kulundika bandarini Dar. Hivyo wateja wetu wa hapa ndani hawatakuwa na sababu za kuwacheleweshea kuchukua mizigo yao kwa sababu, mteja mwenyewe ataamua kuchukulia mzigo wake kwenye bandari ya Dar au Morogoro. Kwa bandari hii kavu mkoani Morogoro uchumi wa nchi hauwezi lala kamwe na mizigo haitazidi kwenye bandari yetu ya Dar.

4. Kwa pesa hizo zinazoenda kuteketezwa huko nje, ni bora serikali iende ikajenge chuo kikuu mkoani Mara (Musoma) wakiite MUSOMA UNIVERSITY OF SPORTS AND ATHLETICS (MUSA) hiki chuo kitakuwa mahususi kwa ajili ya kukuza sekta ya michezo na riadha Tanzania ukizingatia mkoa wa Mara umepakana na nchi ya Kenya na Uganda ambazo ni mahususi na maarufu katika michezo ya riadha. Kwa kukijenga chuo hicho tutakuwa tumefungua uchumi mkubwa wa kanda ziwa kwa sababu chuo cha namna hiyo hakipo huko. Wanafunzi wengi kutoka nchi za Afrika mashariki pia watakuja kusoma michezo na kuongeza utalii kwa mbuga ya Serengeti iliyo hapo karibu.

Hayo ni baadhi ya fursa ambazo tunaweza kufanya hapa nchini kwetu Tanzania kwa pesa ambazo wizara ya mambo ya nje inataka ikateketeze huko nje kwa kisingizio eti kujenga majengo. Serikali tuonee huruma watu wa taifa hili, pesa hizo wekezeni hapa nyumbani kukuza ajira na uchumi wa vijana wa kitanzania na taifa kwa ujumla kwa baadhi ya miradi niliyoianisha hapo juu.

Pia soma
Kabisa!
 
nadhani tungeaza kuweka mipango miji vizuri nyumba zikae kwa mitaa, kupunguza shughuli za kimaskini kama kila nyumba genge njee au fremu. makazi yabakie makazi na sio makontena, uuzwahi wa beer kila sehemu. Nimeshtushwa sana nimepita Bunju B hivi karibuni pale stendi ya zamani kumekuwa ni uswahili tandale hapafai. mbona Mtwara watu maskini lakini wanaishi kwenye mitaa iliyopangiliwa sio hapa mishikaki mara muuza mkaa yaani hatuna ustaarabu kabisa.
sisi watu wa Tanzania nani katuloga tunakuwa kama nigeria na wao walishatoka kwenye uholeholela. Hata goba, au mpiji kuna uwezekano watu wakaa kimitaa.
sehemu kama madale inasikitisha sana kuwa holela holela na mji ni mpya.
 
U
nadhani tungeaza kuweka mipango miji vizuri nyumba zikae kwa mitaa, kupunguza shughuli za kimaskini kama kila nyumba genge njee au fremu. makazi yabakie makazi na sio makontena, uuzwahi wa beer kila sehemu. Nimeshtushwa sana nimepita Bunju B hivi karibuni pale stendi ya zamani kumekuwa ni uswahili tandale hapafai. mbona Mtwara watu maskini lakini wanaishi kwenye mitaa iliyopangiliwa sio hapa mishikaki mara muuza mkaa yaani hatuna ustaarabu kabisa.
sisi watu wa Tanzania nani katuloga tunakuwa kama nigeria na wao walishatoka kwenye uholeholela. Hata goba, au mpiji kuna uwezekano watu wakaa kimitaa.
sehemu kama madale inasikitisha sana kuwa holela holela na mji ni mpya.
Uholela na umaskini wa kutengenezewa ndio kete ya ushindi kwa chama chakavu
 
Yaani nchi maskini kama Tanzania yenye uchumi mdogo wa kumudu changamoto za nyumbani kwake mwenyewe, unatoa tena hicho kidogo na kukipeleka nje kuzijenga na kuendeleza nchi za wenzetu. Hii sio akili!
Kuna mambo mengi hapa nchini tunaweza kuyafanya na yakatuvutia uwekezaji mwingine mkubwa tu, na pia kusaidia taifa kuondokana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana wa kitanzania.

Baadhi ya uwekezaji unaoweza kufanywa na fedha hizo na tukapata matunda makubwa kama taifa ni:

1. Ujenzi wa kiwanja standard kitachochukua michezo yote ya olimpiki kwa mfano kile cha Budapest kilicho host mashindano ya Track world championship mwaka 2023. Kiwanja hiki kikijengwa karibu na bichi zetu kubwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na utalii wa baharini au ziwani kitakuwa na manufaa sana kwa taifa hili. Kwa sababu siku moja kama taifa tunaweza tukajikuta tumepewa hadhi ya kuandaa mashindano ya olympiki na dunia nzima ikaja Tanzania kushiriki mashindano hayo.

2. Ujenzi wa masoko ya kisasa yenye vizimba kila wilaya Tanzania kwa ajili ya kurasimisha biashara ndogo ndogo za machinga Tanzania. Hapa kama nchi tutakuwa tumeongeza tax base kwa wafanya biashara wadogo wadogo ambao wengi wao sio walipa kodi wazuri.

3. Ujenzi wa bandari kavu kubwa na ya kisasa mkoani Morogoro kwa ajili ya kontena zote zinazoingia kwa wingi pale bandarini Dar es salaam. Kwa kuwa tumekamilisha reli yetu ya SGR, sioni haja ya mizigo kulundika bandarini Dar. Hivyo wateja wetu wa hapa ndani hawatakuwa na sababu za kuwacheleweshea kuchukua mizigo yao kwa sababu, mteja mwenyewe ataamua kuchukulia mzigo wake kwenye bandari ya Dar au Morogoro. Kwa bandari hii kavu mkoani Morogoro uchumi wa nchi hauwezi lala kamwe na mizigo haitazidi kwenye bandari yetu ya Dar.

4. Kwa pesa hizo zinazoenda kuteketezwa huko nje, ni bora serikali iende ikajenge chuo kikuu mkoani Mara (Musoma) wakiite MUSOMA UNIVERSITY OF SPORTS AND ATHLETICS (MUSA) hiki chuo kitakuwa mahususi kwa ajili ya kukuza sekta ya michezo na riadha Tanzania ukizingatia mkoa wa Mara umepakana na nchi ya Kenya na Uganda ambazo ni mahususi na maarufu katika michezo ya riadha. Kwa kukijenga chuo hicho tutakuwa tumefungua uchumi mkubwa wa kanda ziwa kwa sababu chuo cha namna hiyo hakipo huko. Wanafunzi wengi kutoka nchi za Afrika mashariki pia watakuja kusoma michezo na kuongeza utalii kwa mbuga ya Serengeti iliyo hapo karibu.

Hayo ni baadhi ya fursa ambazo tunaweza kufanya hapa nchini kwetu Tanzania kwa pesa ambazo wizara ya mambo ya nje inataka ikateketeze huko nje kwa kisingizio eti kujenga majengo. Serikali tuonee huruma watu wa taifa hili, pesa hizo wekezeni hapa nyumbani kukuza ajira na uchumi wa vijana wa kitanzania na taifa kwa ujumla kwa baadhi ya miradi niliyoianisha hapo juu.

Pia soma
Safi sana
 
Naona kaliwa kichwa mwenye wazo hili la kujenga nchi za watu
 
Kampuni zote za China zinazojenga barabara na reli nk Tanzania ni kampuni za serikali asilimia 100 na hutengenza faida ya kufa mtu ili faida itumike kuendesha serikali sio tu kutegemea kodi za raia wa china
Jee hizo kampuni zipo chini ya wizara ya mambo ya nje?
 
Back
Top Bottom