Serikali iache kufanya maamuzi ya mihemko kwenye masuala ya elimu

Serikali iache kufanya maamuzi ya mihemko kwenye masuala ya elimu

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Kumekuwa na changamoto kubwa sana viongozi wa Serikali kuja na maamuzi ya mihemko sana linapo kuja tukio lolote lisilofaa lililofanywa na mwalimu.

Idara zote zina watu wenye mapungufu sasa tatizo lililopo kwenye Serikali hii kila kiongozi huwa ni msemaji wa elimu na huwa wanakuja na maamuzi yenye mihemko sana.

Nitoe tu tahadhari maamuzi yawe ya hekima yasiyoathiri mwenendo wa elimu, wengi wenu huko maofisini hamuujui ugumu halisi uliopo kwenye shule hizi hasa za vijijini yani hamuelewi nanhamjui mambo yakoje watoto wanaishije huko majumbani mazingira yao yakoje

Punguzeni maamuzi ya mihemko inazidi kuharibu elimu.
 
Kumekuwa na changamoto kubwa sana viongozi wa serikali kuja na maamuzi ya mihemko sana linapo kuja tukio lolote lisilo faa lililo fanywa na mwalimu

Idara zote zina watu wenye mapungufu sasa tatizo lililopo kwenye serikali hii kila kiongozi huwa ni ksemaji wa elimu na huwa wanqkuja na maamuzi yenye mihemko sana

Nitoe tu tahadhari maamuzi yawe ya hekima yasiyo athiri mwenendo wa elimu, wengi wenu huko maofisini hamuujui ugumu halisi uliopo kwenye shule hizi hasa za vijijini yani hamuelewi nanhamjui mambo yakoje watoto wanaishije huko majumbani mazingira yao yakoje

Punguzeni maamuzi ya mihemko inazidi kuharibu elimu .
Tuna vilaza wengi humu Serikalini

USSR
 
It doesn’t matter. Huwezi piga mtoto kama ng’ombe afu uangaliwe tu. Ila walimu ni wajinga sana. Wapumbavu wakubwa. We toto baya achana nalo. Not your problem . Waachie wazazi wake, why risk your job and a jail sentence kwa upuuzi. Punks
 
It doesn’t matter. Huwezi piga mtoto kama ng’ombe afu uangaliwe tu. Ila walimu ni wajinga sana. Wapumbavu wakubwa. We toto baya achana nalo. Not your problem . Waachie wazazi wake, why risk your job and a jail sentence kwa upuuzi. Punks
Kwa akili kama hizi hakika sio rahisi kupata watu wenye utashi,punguza mihemko.

Haya ni madhara ya kuwa na akili ndogo kaa pembeni wenye akili watao elewa msingi wa andiko hili wachangie, mjadala umekuzidi huu
 
Watz 90% hawajitambui sio walimu wala Viongozi ,

Roho za ukatili
Na roho chafu ndio jadi Yao

Upole wao ni kwa Mdomo tu
 
Kwani tumegombana mbona kama una visa kwani unatatizo gani? Akili yako ndogo kubali hilo kwanza , huu mjadala umekuzidi ,punguza mhemko .

Kaa pembeni wache wenye akili timamu wachangie.
Huu ni mjadala wa kipumbavu ulioanzishwa na mpumbavu mmoja asiyejielewa
 
Wewe mjerumani?
Mimi Nimelelewa katika maadili mema nenda pale Temeke secondary waulize habari zangu watakupa majibu

Mimi najitambua Nina Huruma Sana natoa Sana pia sipendi mihemko ya kuchapa watu /Mtu viboko matusi nk
 
Huu ni mjadala wa kipumbavu ulioanzishwa na mpumbavu mmoja asiyejielewa
Sawa sasa wewe unahangaika nini na mjadala wa kipumbavu? Kwa nini usiuache tuu ili na wewe usiwe mpumbavu? basi we kaa kimya maana wewe haukuhusu, maanabhata chizi hujiona akaakili kuliko wazima anao waona mbele yake
 
Mimi Nimelelewa katika maadili mema nenda pale Temeke secondary waulize habari zangu watakupa majibu

Mimi najitambua Nina Huruma Sana natoa Sana pia sipendi mihemko ya kuchapa watu /Mtu viboko matusi nk
Sawa basi wewe kama unajitambua kujitambua kwako wala hakuta jificha
 
Mimi Nimelelewa katika maadili mema nenda pale Temeke secondary waulize habari zangu watakupa majibu

Mimi najitambua Nina Huruma Sana natoa Sana pia sipendi mihemko ya kuchapa watu /Mtu viboko matusi nk
Ahaaa Kwa hiyo nikifika tu pale TEMEKE SEC niulize HAYA LAND sio?
 
Back
Top Bottom