Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, serikali ilifaidika kwa mabilioni ya shilingi kutokana na suala la UVIKO 19 ambayo kuja kwake kuliambatana na vigezo, kanuni, na masharti ambavyo iliyaridhia.Huu ugonjwa hebu upotezeeni kabisa ,tulishakubali kuishi nao .kutuletea taarifa za covd ni kututisha na kuleta taharuki isiyo na tija hata inaweza kufukuza watalii kuja nchini achaneni na hizo stori tafadhali