Serikali iamuru Vyuo Vikuu vyote kuvaa sare maalumu

Serikali iamuru Vyuo Vikuu vyote kuvaa sare maalumu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri).

Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili.

Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.

Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.

Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.

Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.
 
Labda ungekuwa specific kwa undergraduate, mtu wa post graduate naye avae uniform?! Unatoka kazini unaenda kubadilisha nguo uende chuo 😯
 
Binti au kijana wa kiume mpaka anafika level ya chuo ameshaanza kujitambua....suala la kujiuza ni tamaa zisizo za msingi....wengine wanajua wamefuata nini chuo sio kubadili mavalio wala manywele na makucha na wanapiga mzigo wanamaliza
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri)
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.
Kuna wanaojiuza ambao sio wanachuo, hao pia tuwavalishe sare ili wasijiuze?


Kujiuza ni tamaa tu, kuna watu kwao wana pesa na bado wanajiuza.

Pia kuna watu kwao maskini ila hawajiuzi,
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri)
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.

Una hoja,tena inastahili usikilizwe na Serikali, Bunge pamoja na wadau wengine wa Maendeleo. Lakini mimi niko tofauti na wewe Kwa sababu kuruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu sio mwarobaini wa kutokomeza umasikini.
Umasikini ninaouzungumuzia ni huu wa watanzania kuwa na uwezo duni wa kupata mahitaji ya Msingi ya binadamu Hali kadhalika kuwa na uwezo mdogo wa kufanya manunuzi( low purchasing power).
Nini kifanyike, ni kwamba Serikali iwe na sera madhubuti za kusukuma gurudumu la Maendeleo Kwa kusimamia na kutekeleza mipango.
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri)
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.
Nchi nzima tuvae uniform basi.
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri)
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.

Matabaka yapo kila mahali na inatubidi tuishi nayo. Ukitaka usawa kama Nyerere na falsafa za Ujamaa, wote tutaishia kua masikini tu na haitatufaidia kitu. Mwisho utataka watu wawe na nyumba zenye ramani sawa, magari yawe sawa, simu, mishahara…etc! Hilo haliwezekani. Uniform haibadili tabia ya mtu.
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri)
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.

Fikra za namna hii zinafubaza uwezo wako wa kufikiri, waingereza wana msemo wao, “Don’t ever make a permanent solution out of a temporary situation”

Kama watu wanafika level ya chuo bado mienendo yao inaathiriwa na petty issues kama hizo, basi something is wrong somewhere.

Hata uniform zenyewe hazijawahi kuwa uniform kwa wote, nenda shule yoyote then kwa kutazama tu uniform za wanafunzi husika utaona deep down hakuna “uniformity”.

Changamoto hata zikipakwa rangi yenye kufanana, uhalisia utabaki kuwa haziwezi kutatuliwa kwa namna moja.

Kama taifa yafaa tujikite kutatua mizizi ya changamoto zinazo tukabili na si kujidanganya kuwa hazipo kwa kuzipa majina mengine.
 
Huyu mleta mada ana mawazo ya miaka 47.

Tatizo la kimaadili haliwezi kudhibitiwa kwa mtindo huo.

Tufunze watoto maadili tangu wangali wadogo.

Ila sio kulazimisha uniformity ambayo haipo.
 
We jamaa ni lichoko kwelikweli.
Hivi unajua kuna watu ni wakubwa kuliko wazazi wako na wanasoma undegraduate.
Nao wavae uniform.
Kuna in-service
Nao wavae uniform.


Kaa ujitafakari upya halafu uje na hoja yenye mashiko ya kuwaambia wana jamii na wakakuelewa.
 
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri).

Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili.

Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.

Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.

Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.

Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.
Vipi waki graduate nako watavaa sale?

Mzazi mkanye mwanao nae hata yaacha maneno yako hata akiwa mkubwa.
 
Back
Top Bottom