DOKEZO Serikali iangalie hali ya usalama kwenye boti za mwendokasi Kivukoni na Kigamboni

DOKEZO Serikali iangalie hali ya usalama kwenye boti za mwendokasi Kivukoni na Kigamboni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
11.jpg
22.jpg

Mimi ni mwananchi wa kawaida leo nimeamua kuweka hili suala wazi ili jamii ione wazi kuliko kuendelea kulalamika chinichini kila siku.

Naamini kupitia hapa Jamii Forums ujumbe huu utawafikia Watanzania wengi na vyombo vya Serikali kuweza kuelewa ninachokiandika hapa.

Hoja yangu ni kwenye zile boti ndogo za Kigamboni pale Kivukoni wanazoziita SeaTaxi kwa jina maarufu boti za mwendokasi.

Pale Kivukoni kuna zile boti za Azam zinazoitwa SEATAXI zinabeba watu kuanzia 120 kwa kuhesabu Seat ila nafikiri idadi inaweza kufika 150 hadi 200 kwa kuwa kuna wengine wanasimama.

Nianze na pongezi ili nisie onekana nipo negative tu, kwanza natoa heko kwa kuwa zimepunguza foleni ya watu au msongamano uliokuwepo awali eneo hilo.
33.jpg

Boti hizo zina kasi na zinaweza kwenda hadi round 3 wakati zile boti kubwa zenyewe zikawa na round moja, kwa hapo bila shaka wahusika au mamlaka zimefanya kazi nzuri.

Lakini upande wa pili kwa uchunguzi wangu wa harakaharaka hakuna maboya incase emergency yoyote itatokea.

Ujumbe huu uwafikie Watanzania na Serikali kwa ujumla ili wafanyie kazi haraka kabla madhara makubwa hayajatokea.

Nimekuta zina maboya yale madogo 6 tu, hilo ni jambo la hatari kwa kuwa kwa kiwango cha watu wanaokitumia kwa wakati mmoja na idadi ya maboya ni machache mno.

Hata hayo machache yaliyopo yamefungwa katika njia ambayo ikitokea dharura inakuwa ngumu kuyatoa kirahisi. Pia sijaona kama kuna life jacket hata chache za akiba.
44.jpg
 
View attachment 2561646
Mimi ni mwananchi wa kawaida leo nimeamua kuweka hili suala wazi ili jamii ione wazi kuliko kuendelea kulalamika chinichini kila siku.

Naamini kupitia hapa Jamii Forums ujumbe huu utawafikia Watanzania wengi na vyombo vya Serikali kuweza kuelewa ninachokiandika hapa.

Hoja yangu ni kwenye zile boti ndogo za Kigamboni pale Kivukoni wanazoziita SeaTaxi kwa jina maarufu boti za mwendokasi.

Pale Kivukoni kuna zile boti za Azam zinazoitwa SEATAXI zinabeba watu kuanzia 120 kwa kuhesabu Seat ila nafikiri idadi inaweza kufika 150 hadi 200 kwa kuwa kuna wengine wanasimama.

Nianze na pongezi ili nisie onekana nipo negative tu, kwanza natoa heko kwa kuwa zimepunguza foleni ya watu au msongamano uliokuwepo awali eneo hilo.
View attachment 2561647
Boti hizo zina kasi na zinaweza kwenda hadi round 3 wakati zile boti kubwa zenyewe zikawa na round moja, kwa hapo bila shaka wahusika au mamlaka zimefanya kazi nzuri.

Lakini upande wa pili kwa uchunguzi wangu wa harakaharaka hakuna maboya incase emergency yoyote itatokea.

Ujumbe huu uwafikie Watanzania na Serikali kwa ujumla ili wafanyie kazi haraka kabla madhara makubwa hayajatokea.

Nimekuta zina maboya yale madogo 6 tu, hilo ni jambo la hatari kwa kuwa kwa kiwango cha watu wanaokitumia kwa wakati mmoja na idadi ya maboya ni machache mno.

Hata hayo machache yaliyopo yamefungwa katika njia ambayo ikitokea dharura inakuwa ngumu kuyatoa kirahisi. Pia sijaona kama kuna life jacket hata chache za akiba.
View attachment 2561648
Okay tunashukuru kwa attention yako juu ya usalama wa raia na Mali zao pindi wanapotumia usafiri huu WA maji lakini hiyo pembeni huitwa ring buoy hufungwa na kamba hutumika pindi mtu anapotumbukia bahari pasipo kutarajia hutupiwa hilo akiwa kwenye maji ni buoyant material halizami hivyo mhanga hupewa maelezo jinsi ya kulishika kisha kulivaa ili uweze kuelea nalo huku mabaharia wa chombo hukuvuta kwa kamba mpaka kwenye chombo husika na kukuokoa .Hizi ring buoys huwa chache na hutegemea na ukubwa wa chombo lakini kuna vifaa huitwa life jackets hizi huwekwa kwenye chombo kulingana na idadi ya watu (Manning requirements) hivyo basi Taasisi ya kimataifa inayohusiana na ubaharia yaani International Maritime Organisation ( IMO) huainisha (Stipulation) idadi ya watu kwa kila chombo kulingana na ukubwa na Aina ya meli na hizo life jackets ziendane na takwa Hilo la IMO. Hivyo ndugu life jackets huifadhiwa kwenye lockers zake special sio rahisi abiria kujua idadi na ndio hupewa abiria wote chomboni pindi itokeapo itilafu za kiufundi . Asante
 
Okay tunashukuru kwa attention yako juu ya usalama wa raia na Mali zao pindi wanapotumia usafiri huu WA maji lakini hiyo pembeni huitwa ring buoy hufungwa na kamba hutumika pindi mtu anapotumbukia bahari pasipo kutarajia hutupiwa hilo akiwa kwenye maji ni buoyant material halizami hivyo mhanga hupewa maelezo jinsi ya kulishika kisha kulivaa ili uweze kuelea nalo huku mabaharia wa chombo hukuvuta kwa kamba mpaka kwenye chombo husika na kukuokoa .Hizi ring buoys huwa chache na hutegemea na ukubwa wa chombo lakini kuna vifaa huitwa life jackets hizi huwekwa kwenye chombo kulingana na idadi ya watu (Manning requirements) hivyo basi Taasisi ya kimataifa inayohusiana na ubaharia yaani International Maritime Organisation ( IMO) huainisha (Stipulation) idadi ya watu kwa kila chombo kulingana na ukubwa na Aina ya meli na hizo life jackets ziendane na takwa Hilo la IMO. Hivyo ndugu life jackets huifadhiwa kwenye lockers zake special sio rahisi abiria kujua idadi na ndio hupewa abiria wote chomboni pindi itokeapo itilafu za kiufundi . Asante
[emoji1666]
 
Okay tunashukuru kwa attention yako juu ya usalama wa raia na Mali zao pindi wanapotumia usafiri huu WA maji lakini hiyo pembeni huitwa ring buoy hufungwa na kamba hutumika pindi mtu anapotumbukia bahari pasipo kutarajia hutupiwa hilo akiwa kwenye maji ni buoyant material halizami hivyo mhanga hupewa maelezo jinsi ya kulishika kisha kulivaa ili uweze kuelea nalo huku mabaharia wa chombo hukuvuta kwa kamba mpaka kwenye chombo husika na kukuokoa .Hizi ring buoys huwa chache na hutegemea na ukubwa wa chombo lakini kuna vifaa huitwa life jackets hizi huwekwa kwenye chombo kulingana na idadi ya watu (Manning requirements) hivyo basi Taasisi ya kimataifa inayohusiana na ubaharia yaani International Maritime Organisation ( IMO) huainisha (Stipulation) idadi ya watu kwa kila chombo kulingana na ukubwa na Aina ya meli na hizo life jackets ziendane na takwa Hilo la IMO. Hivyo ndugu life jackets huifadhiwa kwenye lockers zake special sio rahisi abiria kujua idadi na ndio hupewa abiria wote chomboni pindi itokeapo itilafu za kiufundi . Asante
Kudos maelezo mazuri sana haya yamejitosheleza, thread closed
 
ngoja waje , maana mpaka kutokee majanga ndio uone wanavyohangaika hapa kimsingi mambo ni mengi muda mchache yaani Boti lote hilo na watu wote hao lakini Boya moja tu kwa ajili ya kujiokoa , hatari sana , inaonekana boya ni la captain tu wengine mtapiga mbizi kama alivyoshaurigi jiwe
 
Back
Top Bottom