FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wajinga ndiyo waliwao.Fungu la kumi ni maagizo ya muumini kama sehem ya ibada.
Kwa shetani wanatoa fungu la 60 yaani unakula 40,60 ni za shetani.
Kwa Mungu unakula 90 ,10 ya Mungu
Huyo Mungu ndiyo alikwambia uzipeleke kanisani? Fikiri.