Serikali iangalie huduma ya mazishi kwa wasiosali/wasioamini dini

Fungu la kumi ni maagizo ya muumini kama sehem ya ibada.
Kwa shetani wanatoa fungu la 60 yaani unakula 40,60 ni za shetani.
Kwa Mungu unakula 90 ,10 ya Mungu
Wajinga ndiyo waliwao.

Huyo Mungu ndiyo alikwambia uzipeleke kanisani? Fikiri.
 
Wsjinga ndiyo waliwao.

Huyo Mungu ndiyo alikwambia uzipeleke kanisani? Fikiri.
Sasa ulitaka ziende bar,injili itaendaje bila pesa Mungu ndie analipa nauli ya ndege, hotel, daladala,umeme,maji,walinzi, wafanyakzi wa kanisa, chakula,uchapaji,matangazo ya radio,tv, magazeti, kuhudumia wakimbizi,wajane, yatima,wagonjwa.nk hizi baadhi ya kazi za sadaka,zaka, michango na majitoleo mengine kanisani.
Zote hizo ni kazi za Mungu kupitia watu wa Mungu.
Funguka
 
Tatizo watu wasio jihusisha dani niwwengi sana ila awako tayali kukubali kuwa awaamini dini wakiulizwa kwa kuwa wengi wao wanayo majina ya kiarabu na kisungu ujiita waisilamu au wakirito ila kwa waisilamu ilimradi unaitwa shambani tu hata tangu umezaliwa ukuwai kufika msikitini watakuzika tu
 
Wewe mpumbavu hausali halafu unataka uje kuzikwa na kanisa. Hii mada ya kijinga sana
Huo utaratibu ni according to Bible au nini? anyway ni mambo ya kipuuzi tuu, bibi yangu mkatoliki hakuwa mtu wa kwenda kanisanai kwa miaka mingi sana, alipofariki kanisa lake walileta huo upuuzi, alikuja mjomba anajua kupiga sala na tukamzika kwa heshima zote bla issue yeyote, bralifaken kabisa hizi dini za kinafiki
 
Ulishawahi kusikia maiti imeozoea ndani?

Ukihitaji kampani ya watu fulani inabidi ufuate masharti yao!



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
  1. Ubaguzi upo kwa sisi wakristo ambako ndiko wametutega kwamba usiposajiliwa kwenye vitabu wewe hutambuliwi, ukisajiliwa lakini huna bahasha hutambuliwi, ukiwa na bahasha usiweke ahadi hutambuliwi hata kama unaingia kanisani kila siku, mbaya zaidi ukiwa unatoa sadaka nyembamba kulingana na uwezo wako lile genge linalohesabu sadaka litavujisha mtaani kuwa fulani anatoa 200.
  2. Waislam hawako hivyo, wanaweza kumzika yeyote hata awe hana dini, alimradi wakati wa uhai wake atamke kuwa akifa azikwe kwa imani yao na ndivyo ilivyofanyika kwa Prof. Ngonyani Maji Marefu aliyekuwa anaitwa Steven kama sijakosea
 
Wafu hawajui neno lolote,

Ibada haina mana kwa mfu,ispokua kwa walio hai tu
 
Mambo ya Bibi yako peleka kwenye ukoo wenu. Kwanini utusimulie ujinga wenu hapa
 
Unaogopa kutowekewa msalaba? Wakiondoka tutakuwekewa
 
Mtoa mada umeandika kitu cha maana sana.
Dini ya Kikristo inabagua sana huduma ya mazishi.

Mkatoriki hataki kabisa kumzika Msabato hivyo hivyo kwa Muanglikana kwa Murutheri.

Yaani Kiongozi wa kidini anakataa kuendesha ibada ya kumzika mtu hadi awe wa Dini yake.

Sijui hili fundisho waliagizwa na nani maana Yesu alihudumia mtu yeyote yule ilimradi awe Binadamu.

Mkatoriki hataki kabisa kumzika Mwislamu. Wala Mpagani.

Hakuna namna sisi Wakristo ni lazima tuwe karibu na Dhehebu fulani ili kuzikwa kwa heshima.
Tuwe karibu na dhehebu kubwa
 
ahhh jamaa kafikiri kaona kanisani haendi sasa atazikwaje?kamua kutia mada ili atafute ufumbuzi.nenda kasali kaka kabla ya mambo hajakufika
 
Kweli aisee kuna haja pia ya kuwa na zile huduma za kichoma moto za Public wengine tunatamani kuchomwa moto tukifa
 
Duh! Kwa hakika inashangaza.
 
Kwa waislamu hata akiwa Muislamu jina haujawahi kwenda msikitini , Mzee wa mabangi na masigara kama Maghayo unazikwa tu kiislamu bila tabu yeyote.
 
Kwa maana hiyo malalamiko ya mleta mada ni kama hayapo maana kama nyie upande huo mnatoa huduma ya mazishi kwa mtu yeyote ata asiye wa dini yenu haya malalamiko ya mleta mada yanatoka wapi.

Maana wakikataliwa kuzikwa huko ukristoni nyie si mnawakubali kuzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…