sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Kama Mama Samia ameamua kuondoa watafutaji wa mitaani yani wamachinga. Ni sawa. Ila nafikiri angewatzama kwa jicho la huruma wamachinga wenye ulemavu ambao hawawezi kubeba mizigo wala kulima. Kuwaondoa watu wa namna hii ni ukatili mkubwa sana.
Naiomba serikali ya Mama Samia iwawekee utaratibu mzuri kama vibanda local vinawachukiza machoni mwao basi wawekee hata vibanda vinavyopendeza nao wapate rizki zao na familia zao.
Nawasilisha!