Serikali ianzishe bima ya kilimo.

Serikali ianzishe bima ya kilimo.

lingamba lidodi

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
964
Reaction score
1,137
Wana bodi saalam!
Sekta ya kilimo ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu,lakini kwa bahati MBAYA sana serikali ya Tanzania imeitupilia mbali.

Panahitaji mageuzi ya dhati na makubwa ktk sekta hii ili kilimo niwe na mkulima mmoja mmoja hadi taifa.
Serikali inataki unatakiwa kufanya mambo matatu makubwa.

1. Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchi nzima.
2. Ujenzi wa viwanda vya mbolea
3. Uanzishwaji wa bima kilimo.

Kama serikali imeweza bima mbalimbali inashindwaje kuanzisha bima ya kilimo,ili mkulima wa nchi hii anapopata hasara bima iweze kumfidia ili aweze kurudi tena shamba ni msimu unaofuta.
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana bodi saalam!
Sekta ya kilimo ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu,lakini kwa bahati MBAYA sana serikali ya Tanzania imeitupilia mbali.

Panahitaji mageuzi ya dhati na makubwa ktk sekta hii ili kilimo niwe na mkulima mmoja mmoja hadi taifa.
Serikali inataki unatakiwa kufanya mambo matatu makubwa.

1. Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchi nzima.
2. Ujenzi wa viwanda vya mbolea
3. Uanzishwaji wa bima kilimo.

Kama serikali imeweza bima mbalimbali inashindwaje kuanzisha bima ya kilimo,ili mkulima wa nchi hii anapopata hasara bima iweze kumfidia ili aweze kurudi tena shamba ni msimu unaofuta.
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepiga mule mule ikianzishwa hii naacha shughuli zote nahamia kwenye kilimo
 
Wana bodi saalam!
Sekta ya kilimo ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu,lakini kwa bahati MBAYA sana serikali ya Tanzania imeitupilia mbali.

Panahitaji mageuzi ya dhati na makubwa ktk sekta hii ili kilimo niwe na mkulima mmoja mmoja hadi taifa.
Serikali inataki unatakiwa kufanya mambo matatu makubwa.

1. Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchi nzima.
2. Ujenzi wa viwanda vya mbolea
3. Uanzishwaji wa bima kilimo.

Kama serikali imeweza bima mbalimbali inashindwaje kuanzisha bima ya kilimo,ili mkulima wa nchi hii anapopata hasara bima iweze kumfidia ili aweze kurudi tena shamba ni msimu unaofuta.
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
ongezea hapo,

4. waruhusu kutumika kwa ardhi zilizo wazi na kupunguza kodi za pembejeo za kilimo.

Tz bado ina ardhi kubwa ipo tu haitumiwi
 
Back
Top Bottom