N Ndugudu Senior Member Joined Aug 15, 2022 Posts 190 Reaction score 184 Aug 22, 2022 #21 Mungu akipenda
Lwiva JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 15,416 Reaction score 22,334 Aug 22, 2022 #22 think tank01 said: Ungekua Rais kutoka chama gani, kama ni h Click to expand... Hata bila ya chama ..kwa mabavu
think tank01 said: Ungekua Rais kutoka chama gani, kama ni h Click to expand... Hata bila ya chama ..kwa mabavu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 22, 2022 #23 Ngoja waje...
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,494 Reaction score 96,074 Aug 22, 2022 #24 Mwigulu Mungu anamuona na atampatia adhabu aliyowahi kuwapatia watangulizi wake.
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,494 Reaction score 96,074 Aug 22, 2022 #25 Kalunya said: Hakuna mtza asiyelipa kodi kama mtoto mchanga analipa kodi sembuse mtu mzima Click to expand... Tatizo utakuta wewe hata bei ya kilomoja ya nyanya hujui inauzwaje
Kalunya said: Hakuna mtza asiyelipa kodi kama mtoto mchanga analipa kodi sembuse mtu mzima Click to expand... Tatizo utakuta wewe hata bei ya kilomoja ya nyanya hujui inauzwaje
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,322 Reaction score 18,609 Aug 22, 2022 #26 Mmawia said: Tatizo utakuta wewe hata bei ya kilomoja ya nyanya hujui inauzwaje Click to expand... Jua kwanza aina za kodi.Hata mkulima wa nyanya ulipa kodi. Mtoto utumia mafuta ya kupaka, pampa's,taulo,nguo,nepi,poda vyote hivi ulipiwa kodi viwandani ambapo mtumiaji wa mwisho ndie anaeyekuja lipishwa kupitia manunuzi
Mmawia said: Tatizo utakuta wewe hata bei ya kilomoja ya nyanya hujui inauzwaje Click to expand... Jua kwanza aina za kodi.Hata mkulima wa nyanya ulipa kodi. Mtoto utumia mafuta ya kupaka, pampa's,taulo,nguo,nepi,poda vyote hivi ulipiwa kodi viwandani ambapo mtumiaji wa mwisho ndie anaeyekuja lipishwa kupitia manunuzi