jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Naitaka Serikali ifufue na ianzishe upya Shirika la mabasi ili gharama za usafishirishaji ziwe rahisi.
Kwa kuliacha soko la usafirishaji abiria kuwa huru ndipo sasa gharama za kusafiri zimekuwa juu! Eti leo ili nifike kwetu IMALASEKO inanibidi niwe na kiasi kisichopungua elfu sabini (70000) hii ni hatari!
Waziri Kamwelwe shughulikia hiyo agenda na Watanzania wa kawaida watakuhifadhi katika vitabu vyao vya kumbukumbu.
Kwa kuliacha soko la usafirishaji abiria kuwa huru ndipo sasa gharama za kusafiri zimekuwa juu! Eti leo ili nifike kwetu IMALASEKO inanibidi niwe na kiasi kisichopungua elfu sabini (70000) hii ni hatari!
Waziri Kamwelwe shughulikia hiyo agenda na Watanzania wa kawaida watakuhifadhi katika vitabu vyao vya kumbukumbu.