Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Serikali ilishakua na Kampuni ya Mabasi ya Taifa (KAMATA) na mabasi ya relwe (TRC) na yakajifia. Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na usimamizi wa sheria, sio kuuza karanga na kuendesha biashara ya daladala.
Mnataka serekali ifanye biashara? Ubunifu utakufa.