Serikali ilishakua na Kampuni ya Mabasi ya Taifa (KAMATA) na mabasi ya relwe (TRC) na yakajifia. Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na usimamizi wa sheria, sio kuuza karanga na kuendesha biashara ya daladala.
Serikali ilishakua na Kampuni ya Mabasi ya Taifa (KAMATA) na mabasi ya relwe (TRC) na yakajifia. Kazi ya serikali ni kukusanya kodi na usimamizi wa sheria, sio kuuza karanga na kuendesha biashara ya daladala.
Rwanda siyo nchi. Hata bashite ukimkatia kipande Cha dar chenye ukubwa Kama Rwanda awe rais anaweza kuanzisha mabasi ya serikali.
Pia kwa ukubwa wa Rwanda wanahitaji daladala tu.