Kumekuwa na utiriri wa pesa nyingi za bandia mtaani noti pamoja na sarafu za mia tano serikali inatakiwa kufanya yafuatayo ili kuondokana hali hii
I) KUELIMISHA UMMA
Uhamasishaji unatakiwa kufanyika ili kuwaelimisha wananchi jinsi ya kutambua pesa halisi na pesa bandia hii ni pamoja na vipindi maalumu kwenye vyombo vya Habari, mashuleni, masoko mbalimbali pamoja na mafunzo kwa wafanya bihashara.
ii) KUTUMIA MALIPO YA KIELETRONIKI
Kuhamasisha matumizi ya malipo ya kieletroniki kama vile kadi za benki, malipo kupitia simu. Hii inaweza kupunguza utegemezi wa pesa taslimu, hivyo kupunguza nafasi ya pesa bandia.
iii) UBORESHJI WA TEKNOLOJIA YA USALAMA WA NOTI
Serikali kushirikiana na benki kuu wanatakiwa kuhakikisha kuwa noti zina vya juu vya teknolojia ya usalama kama vile alama za maji, mchanganyiko maalumu wa rangi. Hii itafanya iwe vigumu zaidi kwa wahalifu kuzalisha pesa bandia.
iv). USHIRIKIANO KATI YA BENKI, SERIKALI NA VYOMBO VYA USALAMA
Ushirikiano kati ya baenki, vyombo vya usalama na mamlaka za serikali ni muhimu ili kichukua hatua za kisheria dhidi ya watengenezaji na wasambazaji wa pesa bandia. Operesheni na mipango ya pamoja inaweza kusaidia kukamatwa kwa wahusika na kufunga mitandao yao.
v) KUKAGUA MASHINE ZA ATM NA POS
Mabenki na watoa huduma za kifedha wanatakiwa kukagua mara kwa mara mashine hizi ili kuhakikisha kuwa hazitumiki kusambaza pesa bandia. Bali mashine hizi zinatakiwa kuwa na uewezo wa kutambua pesa bandia na kuzikataa.
NB: kwa kuchukua hatua hizi kwa pamoja, inaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la pesa bandia na kuhakikisha usalama wa mfumo wa fedha.
I) KUELIMISHA UMMA
Uhamasishaji unatakiwa kufanyika ili kuwaelimisha wananchi jinsi ya kutambua pesa halisi na pesa bandia hii ni pamoja na vipindi maalumu kwenye vyombo vya Habari, mashuleni, masoko mbalimbali pamoja na mafunzo kwa wafanya bihashara.
ii) KUTUMIA MALIPO YA KIELETRONIKI
Kuhamasisha matumizi ya malipo ya kieletroniki kama vile kadi za benki, malipo kupitia simu. Hii inaweza kupunguza utegemezi wa pesa taslimu, hivyo kupunguza nafasi ya pesa bandia.
iii) UBORESHJI WA TEKNOLOJIA YA USALAMA WA NOTI
Serikali kushirikiana na benki kuu wanatakiwa kuhakikisha kuwa noti zina vya juu vya teknolojia ya usalama kama vile alama za maji, mchanganyiko maalumu wa rangi. Hii itafanya iwe vigumu zaidi kwa wahalifu kuzalisha pesa bandia.
iv). USHIRIKIANO KATI YA BENKI, SERIKALI NA VYOMBO VYA USALAMA
Ushirikiano kati ya baenki, vyombo vya usalama na mamlaka za serikali ni muhimu ili kichukua hatua za kisheria dhidi ya watengenezaji na wasambazaji wa pesa bandia. Operesheni na mipango ya pamoja inaweza kusaidia kukamatwa kwa wahusika na kufunga mitandao yao.
v) KUKAGUA MASHINE ZA ATM NA POS
Mabenki na watoa huduma za kifedha wanatakiwa kukagua mara kwa mara mashine hizi ili kuhakikisha kuwa hazitumiki kusambaza pesa bandia. Bali mashine hizi zinatakiwa kuwa na uewezo wa kutambua pesa bandia na kuzikataa.
NB: kwa kuchukua hatua hizi kwa pamoja, inaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la pesa bandia na kuhakikisha usalama wa mfumo wa fedha.
Upvote
1