Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Katika kipindi cha michezo cha Clouds FM mchana mchambuzi Ali Mayai alilalamika uwingi wa watu wakiwa nje na tiketi ilhali ndani ya uwanja hakuna nafasi. Kama tulivosikia serikali ya Uganda inachunguza mauzo ya tiketi kati ya timu ya taifa ya nchi hiyo na Comoro hivi majuzi kuwa mauzo hayakuzingatia idadi halisi ya uwezo wa uwanja. Ni jambo la hatari kama mchezo huu wa kuwauzia tiketi watu bila kujali idadi halisi inayotakiwa kiwanjani utaendeleo na serikali kufumbia macho!
Kama uwanja unaruhusu watu kumi basi ziuzwe tiketi kumi na si vinginevo.
Naomba serikali ichunguze jambo hili na kuwawajibisha wahusika.
Kama uwanja unaruhusu watu kumi basi ziuzwe tiketi kumi na si vinginevo.
Naomba serikali ichunguze jambo hili na kuwawajibisha wahusika.