Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavyolia bei ya mafuta ishuke kwani unalima mafuta, foolUpuuzi mtupu,hujamsaidia mtu kulima,pembejeo,kuvuna lkn ikija kwny suala la kuuza mahindi yake mnaanza mdomo.
Jinga kabisa,ingia nawe shamba ukalime hayo mahindi.unavyolia bei ya mafuta ishuke kwani unalima mafuta, fool
Unafikiri wakulima wananufaika?Jinga kabisa,ingia nawe shamba ukalime hayo mahindi.
Nawe kazunguke na hayo magari ya kununua mahindi upige hela.Ifahamike kuwa mahindi yanaenda kenya ila wakulima hawanufaiki kivile, wanaonufaika ni wafanyabiashara wanaozukuka na magari kununua mahindi kwa bei rahisi na kuyauza ghali.
Mmeanza kuwaonea huruma wakulima tangu lini?Unafikiri wakulima wananufaika?
Mtoa mada anapendekeza mahindi yathibitiwe yasiende nje, wewe point yako ni ipi.?Mmeanza kuwaonea huruma wakulima tangu lini?
Point yangu Ni acheni wakulima wauze wanavyotaka,Kama Ni wafanyabiasara acheni wapige hela.Mtu yoyote akiona hela zipo kwny mahindi nae arnde akalime/afanye biashara ya mahindi.Mtoa mada anapendekeza mahindi yathibitiwe yasiende nje, wewe point yako ni ipi.?
Maisha ni kutegemeana, wote hatuwezi kuwa wakulima, ndio maana unasikia watu wanalalamika bei za mafuta, mazao,vifaa vya ujenzi n.k.Point yangu Ni acheni wakulima wauze wanavyotaka,Kama Ni wafanyabiasara acheni wapige hela.Mtu yoyote akiona hela zipo kwny mahindi nae arnde akalime/afanye biashara ya mahindi.