mzee wa mazabe
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 843
- 627
Nimepita pale KCMC barakoa zinauzwa kama nyanya pale getini, nimepita Benjamini Mkapa napo hivyo hivyo na sijajua kama na Mwanza pale Bugando hali ipo hivyo, hivi leo hii Serikali inafumbia macho wauza barakoa nje ya Hospitali halafu mnatafuta mitungi ya gesi, hivi mnajua ubora wa hizo barakoa zinazouzwa nje ya Hospitali zenu? Au mmetumwa kutumaliza kabisa?
Haiwezekani barakoa ziuzwe getini kama KCMC halafu ndani kuwe kumechafuka wagonjwa wa Corona, lazima kuna uhusiano. Wizara ya Afya embu toeni tamko mara moja tutaisha aisee.
Haiwezekani barakoa ziuzwe getini kama KCMC halafu ndani kuwe kumechafuka wagonjwa wa Corona, lazima kuna uhusiano. Wizara ya Afya embu toeni tamko mara moja tutaisha aisee.