Serikali idhibiti uuzwaji holela wa Barakoa nje ya Hospitali

Serikali idhibiti uuzwaji holela wa Barakoa nje ya Hospitali

Nilicheka hapo Muhimbili, mama mmoja alikuwa anajaribu kabisa kama itamtosha maana ni zile za vitambaa na wauzaji hawajali hilo
 
Nilicheka hapo Muhimbili, mama mmoja alikuwa anajaribu kabisa kama itamtosha maana ni zile za vitambaa na wauzaji hawajali hilo

Isipomtosha anajaribu nyingine? Kujaribu BURE![emoji16][emoji16]
 
Unapovaa barakoa ili kuziba mdomo na pua ina maana unazuwia virus wa corona wasikuingie mwilini mwako kwa njia ya mdomoni au puani,hii ina maanisha kua hao virus wanaweza kutua kwenye sehemu zako zingine za usoni,mfano virus wanaweza wakawa kwenye kidevu,paji la uso au shingoni,

Sasa unapoishusha Barakoa yako kidevuni,kwenye shingo au kwenye paji la uso kisha ukaja kuivaa tena mdomoni ina maana umewachukua wale virus waliokua kwenye sehemu hizo za usoni na kuwapeleka ndani ya mwili wako kwa kupitia puani na mdomoni kwani watakua wamechukuliwa na hiyo barakoa iliyokua imeshushwa kidevuni!

Kama unataka kuivua barakoa ,ni bora ukaiweka kwenye mfuko wa nguo uliyoivaa bila kuichanganya na vitu vingine,kama vile funguo,simu,au karatasi ya aina yeyote ile ambayo imepita kwenye mikono ya watu wengi,

Kama hutokua muangalifu basi hiyo barakoa inaweza kugeuka na kua kifaa cha kukuletea hao virus!

Mkuu hizo zote ni porojo na kujifariji tu kunakoambatana na usumbufu na gharama.

Kama kirusi anaweza kutua popote, umesahau tuliambiwa anaweza kuingia kupitia tundu lolote la mwili.

Mimi nawaza macho, ambako barakoa haifiki….. tunaponaje?
 
Barakoa inatakiwa iwe atleast na three layers za kuzuia siyo kila barakoa unayoiona inafaa kwa ajili ya matumizi ya kuzuia corona hapa pia elimu inahitajika watu wasije wakatumia barakoa ambazo ziko chini ya kiwango halafu shida ikawa kubwa, suala la watu pia kujishonea barakoa linahitaji elimu siyo kujishonea tu
 
Nilicheka hapo Muhimbili, mama mmoja alikuwa anajaribu kabisa kama itamtosha maana ni zile za vitambaa na wauzaji hawajali hilo
Serikali lazima ichukie hatua mapema maana uenda tukawa tunapeleka Covid ndani ya hospitali bila kujua
 
Watanzania wengine kwa ROHO mbaya mko juu mawinguni. Badala ya kushauri waboreshe ili wahitaji wapate ikiwa salama wewe unataka serikali ichukue hatua za kuzuia. Kweli Heri wenye roho safi.

Ziboreshwe kwa kufungashwa au vinginevyo. Anayenunua aipate katika halibya usafi.

Mwisho tuache HOFU tutavuka salama. Kula matunda na mboga za majani pia fanya mazoezi. Piga nyungu ukiweza. Wale wanaopona 97.70% nawe umo.
 
Unapovaa barakoa ili kuziba mdomo na pua ina maana unazuwia virus wa corona wasikuingie mwilini mwako kwa njia ya mdomoni au puani,hii ina maanisha kua hao virus wanaweza kutua kwenye sehemu zako zingine za usoni,mfano virus wanaweza wakawa kwenye kidevu,paji la uso au shingoni,

Sasa unapoishusha Barakoa yako kidevuni,kwenye shingo au kwenye paji la uso kisha ukaja kuivaa tena mdomoni ina maana umewachukua wale virus waliokua kwenye sehemu hizo za usoni na kuwapeleka ndani ya mwili wako kwa kupitia puani na mdomoni kwani watakua wamechukuliwa na hiyo barakoa iliyokua imeshushwa kidevuni!

Kama unataka kuivua barakoa ,ni bora ukaiweka kwenye mfuko wa nguo uliyoivaa bila kuichanganya na vitu vingine,kama vile funguo,simu,au karatasi ya aina yeyote ile ambayo imepita kwenye mikono ya watu wengi,

Kama hutokua muangalifu basi hiyo barakoa inaweza kugeuka na kua kifaa cha kukuletea hao virus!
Hili mimi nalisema sana hili kwamba watu hawajui matumizi sahihi ya barakoa, ukisema uulize wangapi wananawa mikono kabla ya kuvaa barakoa na wakati wa kuvua ni wazi wanahesabika, mtu anaenda kwenye mechi ya simba na yanga halafu et anategemea barakoa ndio kila kitu.
 
Hili mimi nalisema sana hili kwamba watu hawajui matumizi sahihi ya barakoa, ukisema uulize wangapi wananawa mikono kabla ya kuvaa barakoa na wakati wa kuvua ni wazi wanahesabika, mtu anaenda kwenye mechi ya simba na yanga halafu et anategemea barakoa ndio kila kitu.
Halafu mtu anasema Barakoa hazizuwii corona,kumbe hajui matumuzi sahihi ya jinsi ya kuivaa Barakoa na kuivua.
 
Na pia waelekeze wanunuzi, barakao hainunuli kwa kujaribishwa...
 
bado hatujawa serious......tusiache kusali.....
 
Back
Top Bottom