amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
Yupo kamrudia Mungu wake anasali Efatha na wameshambwaga kuleinanikubusha kisa cha yule mlevi mfupi..aliyepata umaarufu wa ghafla afu ukapotea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kamrudia Mungu wake anasali Efatha na wameshambwaga kuleinanikubusha kisa cha yule mlevi mfupi..aliyepata umaarufu wa ghafla afu ukapotea.
Tutanyonya hewa ya oksijeniSasa hao wataozaliwa wananyonyeshwa na nani??
Asante rafiki💚Demi I love you
Nikiiona hiyo avatar namkumbuka kuna binti ana muonekano huohuo. Dah! Mtoto wa kinyamwezi nimemkumbuka sana. Wish I could turn back the hands of time. Those were the days 😥
Weee kweli?????Asante rafiki💚
Na mimi ni mnyamwezi ujue 😜
😀😀Weee kweli?????
Duh! Inashangaza sana basi
Nchi ngumu hii, akapelekwa bungeni, akakatiwa tickets ya pipa kwenda kwa waarabu eti kuhamasisha timu kichwa cha mwendawazimu.!inanikubusha kisa cha yule mlevi mfupi..aliyepata umaarufu wa ghafla afu ukapotea.
Huyu RC ni mgumba wa akili.Hivi huyu dogo anapata usingizo kweli?
Ila RC ni mpumbavu
Hiyo hela ya kumpongeza ingetumika to habilitate maeneo yaliyoharibiwa ili kuimarisha vyanzo vya majiView attachment 2419623
Serikali naipongeza kwa hili, aendelee kuitwa na kupongezwa kila kona. Arudi tena bungeni kupongezwa. Afanyiwe HBD.
Huu ni muda wa kupongeza sio muda wa kuchukua hatua za kudhibiti majanga. Kwanza haiko kwenye ilani ya chama. Pili serikali haijaleta haya majanga.
Hata mwezi haijapita dege lingine limeshindwa kutua Bukoba. Sasa serikali inahusikaje, kwani mama ndio rubani?!
Majaliwa aalikwe JF aje kupongezwa
Watazaliwa na maiti?Sasa hao wataozaliwa wananyonyeshwa na nani??
Anaitwa Pierre kama sikosei.. Mjinga mmoja hivi hakuwa na lolote!inanikubusha kisa cha yule mlevi mfupi..aliyepata umaarufu wa ghafla afu ukapotea.