Serikali iendelee na sherehe za kumpongeza Majaliwa

Nchi ina malalamiko mengi sana kwa sasa huyu dogo naona ni wa mchongo ili ajadilike kwenye mitandao na vinywa vya watu na kuwasahaulisha kujadili vitu au agenda za msingi na muhimu kwa ustawi na maendeleo ya nchi.
 
Demi I love you
Nikiiona hiyo avatar namkumbuka kuna binti ana muonekano huohuo. Dah! Mtoto wa kinyamwezi nimemkumbuka sana. Wish I could turn back the hands of time. Those were the days 😥
Asante rafiki💚
Na mimi ni mnyamwezi ujue 😜
 
inanikubusha kisa cha yule mlevi mfupi..aliyepata umaarufu wa ghafla afu ukapotea.
Nchi ngumu hii, akapelekwa bungeni, akakatiwa tickets ya pipa kwenda kwa waarabu eti kuhamasisha timu kichwa cha mwendawazimu.!
 
Hiyo hela ya kumpongeza ingetumika to habilitate maeneo yaliyoharibiwa ili kuimarisha vyanzo vya maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…