Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Haya mambooo yanachangiwa na ma eng wa manispaaa na wanaotoa vibali halmashauri
Wamechangia vifooo vngi sana kwa ndugu zetu hawa
Unajiuliza leo hii zinasambwaza taarifa fb wamiliki wamesafiri nje ya nchi tena wiki hiii
Badooo nawaza wale ma engn waliohusika kusimamia kukagua lile gorofa wakowapiii mda huuu
Hivi sasa kumezuka docs zinazoenda kule manispaa ni kama famba tu inatumwa docs za michoro ya ghorofa 3 gafla unakuta ghorofa nne
Unawaza how...hizoo beam walizoweka na manguzo na mazegee yakee yalikuwa imaraa kukidhi ghorofa nne
Na haya yote n hawa wah wa manispaa na halmashauri
Narudiaaa Mungu atawaadhibu mkiwa dunian
Rip marehemu watarajiwa
Wamechangia vifooo vngi sana kwa ndugu zetu hawa
Unajiuliza leo hii zinasambwaza taarifa fb wamiliki wamesafiri nje ya nchi tena wiki hiii
Badooo nawaza wale ma engn waliohusika kusimamia kukagua lile gorofa wakowapiii mda huuu
Hivi sasa kumezuka docs zinazoenda kule manispaa ni kama famba tu inatumwa docs za michoro ya ghorofa 3 gafla unakuta ghorofa nne
Unawaza how...hizoo beam walizoweka na manguzo na mazegee yakee yalikuwa imaraa kukidhi ghorofa nne
Na haya yote n hawa wah wa manispaa na halmashauri
Narudiaaa Mungu atawaadhibu mkiwa dunian
Rip marehemu watarajiwa