Serikali ifikirie kuwepo na siku ya Ugali Tanzania; watu wale ugali kama ishara ya kuenzi chakula hiki muhimu kilichokataliwa na wengi wenye mafanikio

Serikali ifikirie kuwepo na siku ya Ugali Tanzania; watu wale ugali kama ishara ya kuenzi chakula hiki muhimu kilichokataliwa na wengi wenye mafanikio

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwenye maeneo yote yenye maendeleo aidha kwenye familia au jamii au walipokaa watu kwenye tafrija tunakutana na vyakula vifuatavyo;
1. Wali
2. Pilau
3. Viazi (chips)
4. Nyama
5. Ndizi nk

Ugali umetengwa nakufanywa siyo chakula chakuliwa na watu maalumu. Sijajua tatizo ni chakula cha masikini au nichakula ghali kuandaa mtanisaidia. Hata kwenye uzuni pia Napo ugali unaanza kuondolewa na ukipikwa msibani watakula wenyeji ila wageni watapewa wali.

Kama waliofanikiwa wanaukataa ugali, kama waliopiga hatua wanaukataa ugali, na kama Sisi watu wa kipato cha chini hatutaki mgeni kwetu aje ale ugali....je ugali NI chakula cha matajiri au masikini?

Lakini pia kuukataa ugali tena WA Dona NI ujanja au ushamba? Kwanini sasa serikali isiweke siku ya Ugali Tanzania ambayo watu watakula ugali kama chakula cha siku kukipandisha Hadhi chakula hiki kilichotukuza?
 
Kwenye maeneo yote yenye maendeleo aidha kwenye familia au jamii au walipokaa watu kwenye tafrija tunakutana na vyakula vifuatavyo...
Sijui kwanini sijawahi kuona ugali unapikwa kwenye dua harusi au birthday kwanini?
 
Ugali primarily Ni Chakula Cha Ng'ombe au mifugo na Mali ghafi ya viwandani!

Chakula Cha binadamu hasa Ni Ngano na uwele! Ndio Mana akili zetu zimezubaa Kama diary cattle wa US

While a small portion of “Field Corn” is processed for use as corn cereal, corn starch, corn oil and corn syrup for human consumption, it is primarily used for livestock feed, ethanol production and manufactured goods. It's considered a grain
 
Ulaji wa mwafrika unaathiri sana uwezo wake wa kufikiri. Tunakula mno wanga asubuhi, mchana hadi jioni, hili ni tatizo kubwa.
Kwenye maeneo yote yenye maendeleo aidha kwenye familia au jamii au walipokaa watu kwenye tafrija tunakutana na vyakula vifuatavyo;
1. Wali
2. Pilau
3. Viazi (chips)
4. Nyama
5. Ndizi nk

Ugali umetengwa nakufanywa siyo chakula chakuliwa na watu maalumu. Sijajua tatizo ni chakula cha masikini au nichakula ghali kuandaa mtanisaidia. Hata kwenye uzuni pia Napo ugali unaanza kuondolewa na ukipikwa msibani watakula wenyeji ila wageni watapewa wali.

Kama waliofanikiwa wanaukataa ugali, kama waliopiga hatua wanaukataa ugali, na kama Sisi watu wa kipato cha chini hatutaki mgeni kwetu aje ale ugali....je ugali NI chakula cha matajiri au masikini?

Lakini pia kuukataa ugali tena WA Dona NI ujanja au ushamba? Kwanini sasa serikali isiweke siku ya Ugali Tanzania ambayo watu watakula ugali kama chakula cha siku kukipandisha Hadhi chakula hiki kilichotukuza?
wa
 
Kwenye maeneo yote yenye maendeleo aidha kwenye familia au jamii au walipokaa watu kwenye tafrija tunakutana na vyakula vifuatavyo;
1. Wali
2. Pilau
3. Viazi (chips)
4. Nyama
5. Ndizi nk

Ugali umetengwa nakufanywa siyo chakula chakuliwa na watu maalumu. Sijajua tatizo ni chakula cha masikini au nichakula ghali kuandaa mtanisaidia. Hata kwenye uzuni pia Napo ugali unaanza kuondolewa na ukipikwa msibani watakula wenyeji ila wageni watapewa wali.

Kama waliofanikiwa wanaukataa ugali, kama waliopiga hatua wanaukataa ugali, na kama Sisi watu wa kipato cha chini hatutaki mgeni kwetu aje ale ugali....je ugali NI chakula cha matajiri au masikini?

Lakini pia kuukataa ugali tena WA Dona NI ujanja au ushamba? Kwanini sasa serikali isiweke siku ya Ugali Tanzania ambayo watu watakula ugali kama chakula cha siku kukipandisha Hadhi chakula hiki kilichotukuza?
KULA UGALI NI UMASIKILI MKUBWA
 
Back
Top Bottom